Nimempoteza Gongolamboto...!


usiseme kuwa ni uongo coz ni makubwa zaidi yaliyowapata wenzetu. Mungu azilaze roho za wenzetu peponi...amiin
 

Muhosni hapa tunarejea kule kule kwa mama kumuona jinsi anavyopata tabu. Hapa unaona ni jinsi gani mama huyu alivyo na jukumu la kuiangalia na kuihudumia familia yake wakati akiwa hana tena msaidizi wa karibu. Vipi mama anaweza kusaidiwa kukabiliana na hali ya kimaisha iliyopo sasa? Hilo ni suali ninalorudisha kwenu wana jf
 

Una lugha ya kugusa hisia za BINADAMU! (I mean not necessarily hisia za WATU!, si kila mtu ana hisia, ila binadamu wote wanazo hisia, tena kali mno!)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…