Duu hii kali sana bado watu wamelewa siasa tu kuna mengine mengi zaidi ya siasa utashindwa kuwasaidia watoto wako kwa hangover za uchaguzi umeisha maisha yanaendelea. Sio kila kitu Chadema Mbowe hovyo kabisa.Ukitaka kuzuia Corona hapa nchi badilisha jina la huo ugonjwa badala ya Corona sema "Chadema" na ili watu wajikinge na walindwe mpaka nyumbani mwao sema Mbowe ya puani inauzwa wapi kila nyumba utakuta kuna polisi na mwanajeshi kuzuia Chadema isienee ambayo mda huu ndio korona na watu watavalishwa barakoa wakijua ni Mbowe huyo. Hapo walihisi walinzi wa raisi wa esiopia ni Red briged
Ila mkuu bado hujakata kiu ya swali langu.
Wajuzi wa mambo naomba mnieleweshe hapa. Nimemsikia rais akiwaambia walinzi wake kuwa wasiwazuie watu wa rais wa Ethiopia kuingia ndani. Wakati tu wameingia Ikulu ndogo ya Chato, zikawa zinatokea zile pilikapilika za kupiga picha, rais Magufuli akasikika akiwaamrisha walinzi wake wasiwazuie watu wa rais wa Ethiopia, na ghafla tbc wakakata sauti, nadhani walikata sauti baada ya kuona labda anachokiongea rais hakitakiwi kusikiwa na public.
Hiki kitendo kimenifikirisha sana. Ina maana walinzi wa rais wa Ethiopia hawana nguvu ya kumlinda rais wao mpaka rais wetu awaamrishe walinzi wake wawachie? Au ulinzi wa marais kutoka nje huwa unakuwa chini ya walinzi wa rais mwenyeji? Maana imeonekana waliwekwa pembeni walinzi wa rais wa Ethiopia na walinzi wa rais wetu.
Mnaojua protoko za haya mambo naomba mnijuze.
Kiprotokali, mwenyeji ndio mwenye jukumu la kumlinda mgeni na walinzi wake huwa karibu tu kuangalia protocol na hupeana mkakati kwa pamoja. Akiwa ndani ya hotel au makazi waliofikia nje ya hotel mwenyeji huhusika ndani ya hotel ni jukumu la mgeni.
Kuna exceptions kwa wale wanachama 5 wa permanent seat kwenye UNSC tu ambao ulinzi wa viongozi wao muda woteni wa kwao wenyewe
[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]Ukitaka kuzuia Corona hapa nchi badilisha jina la huo ugonjwa badala ya Corona sema "Chadema" na ili watu wajikinge na walindwe mpaka nyumbani mwao sema Mbowe ya puani inauzwa wapi kila nyumba utakuta kuna polisi na mwanajeshi kuzuia Chadema isienee ambayo mda huu ndio korona na watu watavalishwa barakoa wakijua ni Mbowe huyo. Hapo walihisi walinzi wa raisi wa esiopia ni Red briged
endelea kufikiriaWajuzi wa mambo naomba mnieleweshe hapa. Nimemsikia rais akiwaambia walinzi wake kuwa wasiwazuie watu wa rais wa Ethiopia kuingia ndani. Wakati tu wameingia Ikulu ndogo ya Chato, zikawa zinatokea zile pilikapilika za kupiga picha, rais Magufuli akasikika akiwaamrisha walinzi wake wasiwazuie watu wa rais wa Ethiopia, na ghafla tbc wakakata sauti, nadhani walikata sauti baada ya kuona labda anachokiongea rais hakitakiwi kusikiwa na public.
Hiki kitendo kimenifikirisha sana. Ina maana walinzi wa rais wa Ethiopia hawana nguvu ya kumlinda rais wao mpaka rais wetu awaamrishe walinzi wake wawachie? Au ulinzi wa marais kutoka nje huwa unakuwa chini ya walinzi wa rais mwenyeji? Maana imeonekana waliwekwa pembeni walinzi wa rais wa Ethiopia na walinzi wa rais wetu.
Mnaojua protoko za haya mambo naomba mnijuze.
chadema ndio kitu gani wewe?[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
Ok: Lakini mbona amefanyiwa gwaride la Heshima na Jeshi letu?Rais wa Ethiopia hana madaraka kama Waziri Mkuu wa Ethiopia.
Ila mada zingine bana. Sasa hii itakusaidia nini. Dili na mambo yenye tija,Wajuzi wa mambo naomba mnieleweshe hapa. Nimemsikia rais akiwaambia walinzi wake kuwa wasiwazuie watu wa rais wa Ethiopia kuingia ndani. Wakati tu wameingia Ikulu ndogo ya Chato, zikawa zinatokea zile pilikapilika za kupiga picha, rais Magufuli akasikika akiwaamrisha walinzi wake wasiwazuie watu wa rais wa Ethiopia, na ghafla tbc wakakata sauti, nadhani walikata sauti baada ya kuona labda anachokiongea rais hakitakiwi kusikiwa na public.
Hiki kitendo kimenifikirisha sana. Ina maana walinzi wa rais wa Ethiopia hawana nguvu ya kumlinda rais wao mpaka rais wetu awaamrishe walinzi wake wawachie? Au ulinzi wa marais kutoka nje huwa unakuwa chini ya walinzi wa rais mwenyeji? Maana imeonekana waliwekwa pembeni walinzi wa rais wa Ethiopia na walinzi wa rais wetu.
Mnaojua protoko za haya mambo naomba mnijuze.
Acha Uwongo wako Wewe mbona Marais wa Marekani na China walipozuru Tanzania Walinzi wao ndiyo waliwalinda Kiukaribu mno Marais wetu?Walinzi wa Raisi yeyote wana mamlaka ya kumlinda raisi wao popote pale aendapo.
Ushauri wangu tu Kwako siku zingine usiamini sana Maelekezo ya Rais bali fuata Utaratibu wa Kiusalama unaopewa na Walinzi wake ili yasikukute.Wajuzi wa mambo naomba mnieleweshe hapa. Nimemsikia rais akiwaambia walinzi wake kuwa wasiwazuie watu wa rais wa Ethiopia kuingia ndani. Wakati tu wameingia Ikulu ndogo ya Chato, zikawa zinatokea zile pilikapilika za kupiga picha, rais Magufuli akasikika akiwaamrisha walinzi wake wasiwazuie watu wa rais wa Ethiopia, na ghafla tbc wakakata sauti, nadhani walikata sauti baada ya kuona labda anachokiongea rais hakitakiwi kusikiwa na public.
Hiki kitendo kimenifikirisha sana. Ina maana walinzi wa rais wa Ethiopia hawana nguvu ya kumlinda rais wao mpaka rais wetu awaamrishe walinzi wake wawachie? Au ulinzi wa marais kutoka nje huwa unakuwa chini ya walinzi wa rais mwenyeji? Maana imeonekana waliwekwa pembeni walinzi wa rais wa Ethiopia na walinzi wa rais wetu.
Mnaojua protoko za haya mambo naomba mnijuze.
Ukitaka kuzuia Corona hapa nchi badilisha jina la huo ugonjwa badala ya Corona sema "Chadema" na ili watu wajikinge na walindwe mpaka nyumbani mwao sema Mbowe ya puani inauzwa wapi kila nyumba utakuta kuna polisi na mwanajeshi kuzuia Chadema isienee ambayo mda huu ndio korona na watu watavalishwa barakoa wakijua ni Mbowe huyo. Hapo walihisi walinzi wa raisi wa esiopia ni Red briged
Wewe ni mpuuzi na huna ujualo zaidi ya kupayuka hovyo tu,soma nilichoandika halafu soma na ulichoandika wewe kisha onyesha utofauti uko wapi?Acha Uwongo wako Wewe mbona Marais wa Marekani na China walipozuru Tanzania Walinzi wao ndiyo waliwalinda Kiukaribu mno Marais wetu?
Wewe ni mpuuzi na huna ujualo zaidi ya kupayuka hovyo tu,soma nilichoandika halafu soma na ulichoandika wewe kisha onyesha utofauti uko wapi?
Stress zako za maisha usiniletee mimi mpuuzi wewe,kisha jifundishe kutumia lugha ya staha unapotaka kupingana na mtu kwenye jambo lolote lile.
Obama alipokuja Tanzania ilikuwaje ?Nimekumbuka mauaji ya archduke Franz Ferdinand na mkewe Sophie june24 1914 Sarajevo Bosnia,
Kama tunakumbuka ilileta taharuki kubwa hadi kupelekea vita ya kwanza ya dunia.
Nchi mwenyeji anajukumu kubwa kuhakikisha ulinzi wa rais mgeni akitua tu kwenye ardhi yako ata walinzi wake hakuna kuwaamini.
Sindano imeshaingia na ndiyo maana sasa unaweweseka. Unadhani Watu wote hapa JF ni Hayawani / Wapumbavu kama ulivyo Kinara wao Wewe?Wewe ni mpuuzi na huna ujualo zaidi ya kupayuka hovyo tu,soma nilichoandika halafu soma na ulichoandika wewe kisha onyesha utofauti uko wapi?
Stress zako za maisha usiniletee mimi mpuuzi wewe,kisha jifundishe kutumia lugha ya staha unapotaka kupingana na mtu kwenye jambo lolote lile.