Nimemtega hategeki, huyu mwanaume vipi?

Huyo mwanaume bwene anahatari ya kuuziwanmbuzi kwenye gunia. lazima wajanja watamsaidia tu
 
Usijali mrembo mambo mazuri hayataki haraka, kama umeshamweleza na kakuchunia usimulize tena mpe mda asikuone kero,asihisi unalazimisha ndoa au unalazimisha mtoto ili umfanye yeye ATM yako au siunajua wanaume wengine tena.. pole pole ataingia mwenyewe kwenye 18 yako..
 
kwa hiyo na hapa unatufanyia mzaha sio? kuwa makini na uyasemayo siku ingine utakuwa na shida kweli
watu watachukulia mzaha, mi nadhani ishu nyingi humu ni serious mamii, take care
 
Tumia akili zako Bwana,mbona rahisi !hayo mambo ukiona haelekei wewe ndo unapanga.
 
hongera smile
hakikisha tu unatafuta baba kipanga usije ukaharibu mbegu bure.
 

Mwezi wa tatu wa mwaka Gani ndugu
 
ataki tufanye bwana anadai hadi ndoa

Hao wa kusubiri ndoa ndio mfanye mambo, unakuta mambo yenyewe si mambo kamoja wiki mbili ndio kanachaji tena unaanza kujilahumu, bora mchezo uujue mapema ndio siri ya ushindi, Smile komaa we mjanja bwana!
 


Duh!

Llakini anza kwa kufikiri in worst scenario kuwa huyo rafiki unayemwita mchumba anakudanganya ila yuko tayari kukupa ujauzito.. then..

  • Ni kweli itakuwa faraja na raha kwako kupata mtoto..
  • Lakini inaweza kuwa karaha kidogo kwa mtoto kulelewa na mzazi mmoja wakati baba yuko hai..atajisikiaje? Jiweke sehemu ya mtoto kabla hujaamua..
Ushauri wangu..kupata mtoto siyo issue ..unaweza ku-pm vijana kibao hapo jamvini ukacheki afya zao halafu wakakutundika mimba... Issue ni maisha yenu ya baadaye..wewe na mtoto..Hapo baadaye unaweza toa machozi wakati mtoto akikuuliza swali moja tu halafu ukajiona ulikuwa selfish..

Anyway.. Fikiri kwanza Kupata mtoto bila kuwa na baba mwenye msimamo halafu amua.. na jitarishe kwa yote.. inawezekana ila inatakiwa ujitayarishe kisaikolojia..
 
mtokeee bila taarifa usikue hana jinsia huyo!
 
ni PM my dear mimi nimejeaa tele wewe tu
ntafute chemba tena nilivo utapata bonge la toto
kazi kwako Smile.
kama uko tayari ni kupima then tuanze kula raha
mimi nataka mtoto wangu bwana nimechoka kupakata wa watu.maisha ni leo bwana.
 
Hao wa kusubiri ndoa ndio mfanye mambo, unakuta mambo yenyewe si mambo kamoja wiki mbili ndio kanachaji tena unaanza kujilahumu, bora mchezo uujue mapema ndio siri ya ushindi, Smile komaa we mjanja bwana!

Hivi mkuu hawa watu wa kusubiri ndoa wapo kweli siku hizi
Na huyo kijana amelelewa katika mazingira gani maana dunia inafundisha zaidi ya walimu na wazazi
Ukitoka tuu nje ya geti unakutana na vimwana shule ndio usiseme na hata huko makanisani ni balaa
Sasa huyo jamaa kalelewa wapi hajaona hao wote
 
Kuwa mvumilivu na mwenye subira. Maana mimba nayo ina maajabu yake. Wale wanaoitaka sana hawazipati na wale wasiozitaka ndio wanazipata kirahisi. Jipe moyo
 
ni PM my dear mimi nimejeaa tele wewe tu
ntafute chemba tena nilivo utapata bonge la toto
kazi kwako Smile.
kama uko tayari ni kupima then tuanze kula raha
tulishapima kila kitu mkuu uliza huku na cheti cha angaza nilileta
 
Hii nimeisoma punde katika toleo la 'Newsweek la wiki hii haka ka headline:
Preganancy through PM's now possible:
vipi nimwambie Rejao akurushie ka mbegu fasta kupitia PM?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…