yeye ana mtoto eti anaogopa kuwa na mtoto mwingine nje ya ndoa na mimi nataka mtoto sasa
mimi nataka mtoto wangu bwana nimechoka kupakata wa watu.maisha ni leo bwana.
makusudi ya mungu kwetu binadamu ni mema hawezio kuninyima amesema tuombe lolote nae atatupa
nataka mtoto loh hujambo senetor
ikifika hadi march bado hakijaeleweka kwa jamaa nistue nikuunganishe kwa kaka angu..niko serias mayasa
Hakuna jipya zaidi ya hadithi za kufikirika
Smiley mlete huyo shemeji nimpe somo.
Kwa hiyo umuongezee mistari ya bible ili azidi kubana au?? Heheh......habari yako mama mchungaji?
Hahahaha. . . namfafanulia mistari kiundani zaidi.
Poa kakondoo. . . missed you!!
Smiley mlete huyo shemeji nimpe somo.
mchumba wangu ni mtu wa dini sana pamoja na familia yake
tuna mpango wa kuoana mwaka huu ila sijui lini
nimemwambia anipe mimba hataki
sina raha kusema kweli
hadi mwezi wa tatu ajanipa tareh ya ndoa nachepuka zangu
maisha nini bwana bila family?
sikubali heri nikose mume niwe na mtoto potelea mbali
KWANINI NILEE MTOTO WANGU UZEENI?
SASA NAFANYA NINI KIJANA,AJE TULE MAISHA
Fafanua hapa hapa basi unufaishe kondoo wako....lol!! Missed u too mama mchungaji!