Nimemtolea nje shugamami!

si kwamba unatuzuga na unatafuta umaarufu kweli



Kuna jimama moja apa mtaani limekuwa likarimu sana kwangu hata akisafiri nyumba yake ananiachia mimi,zawadi kibao,na mkwanja ananiachia,jana ndo kafunguka eti ananipenda ikanibidi mtoto wa kiume nimpe live kama simuhitaji loooooh!alichoka.
 
Ilivyo mwanaume akimkataa mwanamke kimapenzi basi jamii huhisi kuwa hayuko sawa.. Utachekwa mkuu!!!
 
Ubwege huo wewe hao wamama wanakuaga watamu kinoma kama vp mlengeshe kwangu uone....
 
nipe namba ya huyo jimama...nikuonyeshe nawafanyaga nn hawa!
 
Kuna jimama moja apa mtaani limekuwa likarimu sana kwangu hata akisafiri nyumba yake ananiachia mimi,zawadi kibao,na mkwanja ananiachia,jana ndo kafunguka eti ananipenda ikanibidi mtoto wa kiume nimpe live kama simuhitaji loooooh!alichoka.

we vipi,unalalamika daily humu kwamba puli inakuua,sa si ungelikubalia upone?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…