Nimemtongoza Jana, leo asubuhi kanitext kapoteza hela zote na hajui afanyeje


Kwa sisi wataalamu huo tunaita mtego wa fundi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Unakutana na wajinga ndo wanaliwa hivyo, ila wajanja thubutuuuu yako, unaliwa huku unajiona na huamini. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hamna kitu hapa, Unajifanya tu.. Sijaona hiyo Brain bado .


Wewe sema umelisoma hili Leo kwa Mara ya kwanza .


Ila bila ivo, unaliwa Bure. Hamna cha ujanja wala cha mtoto wa mjini.


Labda kama mnakutana na wanaume wa wasiwasi.

Yaan ukutane namimi. kwanza Kazi yangu, Mavazi yangu, mwonekano wangu, Ninavyoongea. nilivyo mjanja wa lugha, ninavyojua kumplease MTU akajiona kakautana na Elon M, weeee.


Uwe Mwema tu. Otherwise nitakupiga machine Bure.
 
Mimi nimeambiwa kulipa kodi ya saluni yake na matumizi kwa mwezi laki 4.
Singo maza wangu, aliyenizalia Mtoto, anavyonipenda .

Jana Nimempa Cash 1.6 Million za Kitanzia aibust biashara yake.


Huyu Mchaga ana akili ya Utafutaji sana.
 
Hahahaha nikuache , kwako sijawah Ona Brain.
 
Kuna pisi nilikutana nayo nikaitongoza nikakubaliwa baada ya siku 2 akasafir kwenda Mwanza mm nipo Dar alipofika tu anaomba vocha tena ya 10000 eti ndio aliyozoea kujiunga sikumjibu chochote na namba yake nikai block maana niliuona huu mwanzo mbaya, baada ya hapo aliendelea kunitafuta Sana Ila ndio hivyo niliamua kumpotezea Na uzuri wake
 
90 ya wanaume tunanunua ngono indirect na 90 ya wanawake wanajiuza indirect.

Ila kibaya zaidi kuna wanawake wana wauzia ngono waume zao mpaka kwenye ndoa na ndio maana siku hizi ndoa nyingi kama mwanaume akipitia changamoto za kiuchumi lazima hiyo ndoa ivunjike.
 
Simple like that..demu akileta mambo ya kikahaba na wewe unaenda nae kikahaba hivo hivo.
Hakuna kuonesha UNYONGE, Ni kwenda nae Bampa to Bampa.

Ukimkimbia maana ake umemwogopa[emoji4]
 
Huo ndio uanaume sasa.. big up

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu yangu we ni mafia sana [emoji3][emoji3]
Sasa Tunafanyaje mkuu,
Unajua hii kitu inafaa unaitumia kwa mwanamke yule anajifanya much know.

afu kumbe show Zenyewe wakuta Ni sifuri hajui CHOCHOTE sitakwasita.

Afu bado pesa yako anaitaka, Aisee nitakua mjinga wa mwisho kupatia pesa yote Ile.

Kinachofata Ni kumpiga TU tukio[emoji4]
 
Tatizo ukimblock unakua umemtangaxia kwmb wewe Ni mnyonge[emoji4]
 
Kama kazoea Si atumie hela yake pumbav sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…