Nimemtongoza Jana, leo asubuhi kanitext kapoteza hela zote na hajui afanyeje

Atleast miez 2 au mitatu [emoji23][emoji23][emoji23] ila.mida wote huo other love catalysts remain constant.
Ila ukikutana na mwanaume ambaye anakuvutia sana, unampa papuchi ndani ya siku mbili, kama akikuomba mzigo, kwan Nyie wadada siwafahamu, hizo sheria za kutoa papa hadi miezi miwili ipite mnawawekeaga wale wanaume msiovutiwa nao kihivyo Nakadori
 
Ila ukikutana na mwanaume ambaye anakuvutia sana, unampa papuchi ndani ya siku mbili, kama akikuomba mzigo, kwan Nyie wadada siwafahamu, hizo sheria za kutoa papa hadi miezi miwili ipite mnawawekeaga wale wanaume msiovutiwa nao kihivyo Nakadori
Hapana kabisaa
Labda mazingira yawe tyt sana nishindwe kujizuia ila ntajuta sana na siwezi kuwa huru tena labda me Aoneshe kujali
 
Mara nyingi madem wa hivo inakuwa ni anauza kwa formula hiyo..Maana km umeishobokea sana lazima utaenda kumpea gesti ama getoni.
 
Ila ukikutana na mwanaume ambaye anakuvutia sana, unampa papuchi ndani ya siku mbili, kama akikuomba mzigo, kwan Nyie wadada siwafahamu, hizo sheria za kutoa papa hadi miezi miwili ipite mnawawekeaga wale wanaume msiovutiwa nao kihivyo Nakadori
Ndo ukweli kakaa.. Ukiona danadana nyingi jua hamna kitu hapo
 
Daaah nimekutana na Demu Jana sa12 Jioni, nikamtongoza then sa2 usiku nikala Mzigo, Wanawake wa Sasa hawako decent.
.
Kuna Mmoja alishawahi nambia kama unataka mwanamke decent Zaa Wako [emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
Machangudoa hao hawajielewi..wasiharibu sifa za wengine
 
Kwenye mahusiano mwanaume anawekeza pesa na mwanamke anawekeza maqu. Yule atakayewekeza zaidi na kabla ya mwingine ndiye atakayekuwa attached sana na mahusiano na ndiye atakayeumia zaidi endapo uhusiano utavunjika.

Mwanaume akishampa mwanamke pesa nyingi atashindwa kumuacha vivyo hivyo mwanamke akisex na mwanaume bila ya kupokea vya kutosha kutoka kwa mwanaume anakuwa emotionally attached kwa yule mwanaume na ni vigumu kumuacha.

Dawa ni kupokea kwanza kabla ya kuwekeza kwenye mahusiano.
 
NAKAZIA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakiwa hawakutaki.... ndo wanavofanya.... kuna mmoja hapa kanipa namba takribani 3 weeks ago.... tunasalimiana na kuSocialize online....Jana katika kuchat nikamuomba tukutane.... 2 hours later akaniomba BANDO akiwa online....
 
Laki 5 kubwa mno huko kutompa pumzi labda kama nafukua na Tigo sawa😊😊😊
 
Wanawake Tutafika mbinguni tumechoka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…