Nimemtongoza Jana, leo asubuhi kanitext kapoteza hela zote na hajui afanyeje

Jana katika pita pita zangu mjini nilipita mitaa ya karume kule ilala kwa vile wkt nipo mkoa niliskia soko liliungua basi nikasema kwa vile nipo mjini nakula likizo ngoja nikashangae mji.
Mshauri atoe taarifa kituo cha polisi,kisha mchek reply yake.
 
Shetani akanishika mkono akaniambia "blaza blaza usinikemee, hakika mm ni rafiki yako wa kudumu "
 
moyo ukapiga chwaaaaa,asubuhi baada ya kusoma sms ukalia chweeeeeee
 
Msaidie sana hata aka hukue RB polisi
 
Atoe laki tano kwa ajili ya u....chi,he can't be serious
 
Kameza shokaaa😂😂
 

Umejua kunichekesha..

Unatumia formula gani kutafuta thamani ya game?
 
Tapeli huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…