Nimemuacha mume wangu kwa ajili yake yeye hajali kanitelekezea watoto wake!

Wanawake wanapenda sana slope faza yaan ipo haja mabint wafundshwe kujitegemea wenyewe bila vioffer vya wanaume ukitazm hii story iwe ya kwel au uongo huyu dada ni mtu mwenye tamaa na biblia imesisitiza TUISHINDE TAMAA kwa nguvu zote....kama nikweli inatakiwa atubu mbele ya mume na mke wa jamaa na mungu wako
 
What goes around comes around
 
Ujatudanganya bado..
 
Kwa mara ya kwanza naandika neno CHAI
Huyu aliyemroga kafa😄😄
 
Kwa hiyo umebadili jinsia sasa hivi umeolewa au ndio umekua shoga tena
 
Wanasimba tunasemaga ubaya ubwela tukimaanisha ubaya umerudi tulia dawa ikuingie
 
Kwanza inaonekana wewe ni mwanamke mwenye mdomo sana kuishi na wewe dakika 1 ni sawa na kuishi na wewe miaka 10
 
Pole sana, umevuna ulichopanda
usibadili bura yako kwa rehani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…