Nimemuambia gen-z mmoja kuwa tulikuwaga tunaweka vocha hakuna huduma ya kujiunga dakika nyingi kwa hio unaongea fasta fasta salio lisikate eti aamini

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715


Eti anasema "hio ilikuwa miaka ya 80 nini ??🤣🤣🤣🤣🤣"

Millenials mmeanza kuwa makumbusho ya taifa sasa
 
Na ile ya kuongea bure usiku. Unasubiri usiku uingie unaanza kuongea na baby mpaka kunakucha
 
Baada ya kutoka kununua dola kwa foleni pale Chai/Kamata tukahamia kwenye dola ya voucher mwaka 1999
 

Attachments

  • Screenshot_20250116-094811.jpg
    259.5 KB · Views: 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…