johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ni self made opposition uwe unaelewa.Acha uzwazwa, Kama walitaka wawepo Bungeni kwa nini waliwaondoa kwa njia ya Kura Majimboni.
Hakika bwashee.Kweli umeelewa kwa kuelewa kivyako
Na wanaweza kufanya vizuri bungeni na watanzania wengi wakashangaa kwa sababu watakuwa wanatenda kwa kumaanisha na siyo kutafuta kiki.
Mama Makinda amesema wao waliunda self made opposition iliyotakiwa sana na Nyerere ili kuikosoa serikali na kwamba walikuwa wakali kuliko hawa akina Freeman Mbowe.
Kiufupi Halima Mdee na wenzake watakuwepo bungeni hadi 2025.
Maendeleo hayana vyama!
Babu Tale hamna kitu pale!Nilijua Babu Tale
Katiba yetu inazungumzia kuhusu self made opposition, kwa hiyo wanafahamu kabisa kuwa kina Halima mdee sio CHADEMA tena bali ni self made oposition etiKama ni kiwango cha ujinga hiki kituko cha Leo ni balaa.
Self opposition inatengenezwa kwenye nchi ya mfumo wa vyama vingi?
Chama tawala kinatengeneza figisu wakati wa uchaguzi na baada ya chaguzi wanachambua watu na kuwafanya self opposition?
Hakuna hadhi ya self opposition baada ya kuvuruga uchaguzi.
Kwakuhallishiwa haramu sio joniNa wanaweza kufanya vizuri bungeni na watanzania wengi wakashangaa kwa sababu watakuwa wanatenda kwa kumaanisha na siyo kutafuta kiki.
Mama Makinda amesema wao waliunda self made opposition iliyotakiwa sana na Nyerere ili kuikosoa serikali na kwamba walikuwa wakali kuliko hawa akina Freeman Mbowe.
Kiufupi Halima Mdee na wenzake watakuwepo bungeni hadi 2025.
Maendeleo hayana vyama!
Siasa ni sayansi bwashee, usinune!Kama ni kiwango cha ujinga hiki kituko cha Leo ni balaa.
Self opposition inatengenezwa kwenye nchi ya mfumo wa vyama vingi?
Chama tawala kinatengeneza figisu wakati wa uchaguzi na baada ya chaguzi wanachambua watu na kuwafanya self opposition?
Hakuna hadhi ya self opposition baada ya kuvuruga uchaguzi.
Hii ni nzuri kuliko huu upinzani wa ruzuku wa akina Zitto Kabwe!Upuuzi mtupu, wanatenda kwa makubaliano na nani?!
Muulize J J Mnyika kama Chadema inawatambua akina Halima Mdee kuwa ni wanachama wake!Katiba yetu inazungumzia kuhusu self made opposition, kwa hiyo wanafahamu kabisa kuwa kina Halima mdee sio CHADEMA tena bali ni self made oposition eti
Aisee Naona mnajitia vidole wenyewe kisha mnanusaNa wanaweza kufanya vizuri bungeni na watanzania wengi wakashangaa kwa sababu watakuwa wanatenda kwa kumaanisha na siyo kutafuta kiki.
Mama Makinda amesema wao waliunda self made opposition iliyotakiwa sana na Nyerere ili kuikosoa serikali na kwamba walikuwa wakali kuliko hawa akina Freeman Mbowe.
Kiufupi Halima Mdee na wenzake watakuwepo bungeni hadi 2025.
Maendeleo hayana vyama!
Hawa wamama nimashujaa kupita ufipa yoteeNa wanaweza kufanya vizuri bungeni na watanzania wengi wakashangaa kwa sababu watakuwa wanatenda kwa kumaanisha na siyo kutafuta kiki.
Mama Makinda amesema wao waliunda self made opposition iliyotakiwa sana na Nyerere ili kuikosoa serikali na kwamba walikuwa wakali kuliko hawa akina Freeman Mbowe.
Kiufupi Halima Mdee na wenzake watakuwepo bungeni hadi 2025.
Maendeleo hayana vyama!