nimemuelewa Ruge 100%

We kupe acha us3nge wako ruge anakukabang mxxxxuuuiii
 

Kuna nchi huko majuu kupiga nyimbo ya mwanamuziki inabidi radio imlipe . Leo bongo wanamuziki wanalilia radio zipige nyimbo zao harafu wanalalamika eti hawana maendeleo. Inachekesha. Kwani radio ni lazima clouds. Siku hizi kuna fm radio kibao mpaka za dini. Kila mkoa una radio peleka huko wapige. Hivi utaiombaje au kuilazimishaje radio ipige nyimbo yako huoni kama ni utumwa unautafuta mwenyewe
 

kupe.. If u'r trying to defend Ruge then u'r doin it badly.. Soma nilichoandika.. Ni tuhuma toka kwa Lady JayDee.. Bahati mbaya Ruge hajajibu tuhuma zaidi ya kuzunguka.. Sasa wewe unapokuja hapa na kutoa mapovu kwa kusema ati watanzania tunapenda kutoa tuhuma..! Unajua siku zote tuhuma ndo inaanza.. Ushahidi unakuja baadae.. Asingeongea basi leo huyo Ruge..
 
Last edited by a moderator:
Haya nenda kwa ruge chipanzee kapoke buku10
 
Na wewe ni nani katika nchi hii?
 
Ruge jambazi sugu la mziki wa Tanzania.
 

Kusaga ni kupe Ruge ni mnyonyaji wa wasanii
 
Huyo ruge ni SHOG4 tu..mwanaume mzima eti anajibishana na mdada..yote tu ni kutapatapa..angekaa kimya ningemuona wa maana..
 
Haya tuamue kwa kupiga kura, na sasa nitawahoji....

Wanaosema Jide kaonewa waseme NDIOOO......
Wanaosema Ruge kaonewa waseme NDIOOO....

Waliosema NDIO Wameshinda.....!!
 

Unaweza kutohorodheshea baadhi ya Mirija ya Judith ya Mafanikio iliyozibwa labda tuidiscus hapa...... Maana za Kunyonywa,Kutopiga nyimbo tumezidiscus humu na tumeelewana.
 


Bibi Judith hana ushahidi wa hizo tuhuma.
Ndio maana watu wenye utimamu kichwani hawajaburuzwa
 
None sense !!!' Clouds clouds. Nilisha acha sikiliza upimbavu wao.poleni mnaoishobokea
 
hivi wewe nawe ni wale wale auu unataka kutuchefua tuuu, hebu kama huna la kuongea utuliiie naona umetumwa wewe clous wamebaki wajingawajinga tuuu, cox yu wapi fina mango, masoud kipanya, bonda, gadnaa, mmebaki kufanya mambo ya unyonyaji tuuuuu, sugu, mr pool mr nice saida karoli, mmewafanya vibaya sasa mwataka hata dada wa watu mumlambe auuu ni balaaa mwamtafutiaaa shwenxiii weeee ukomeee
 
Redio inayobebwa na dola hadi kujipa majukumu ya dola rejea mambo ya Kibonde,kuandaa birthday ya JK N.K.Tatizo baada ya kupata favour hiyo inatumika kukandamiza wasiokubaliana nao.Kujipendekeza kwa dola ndio ubunifu wanaijisifia nao na si vipaji vya kupambana na soko.Kwa hali hii wasanii wa kweli wanaotumia nguvu zao hawawezi kuelewana nao.Lobbysit daima
 
sidhani kama naweza tumia nguvu yote hiyo kwa ajili ya kumkomoa jide, ana band yake ya tht inaitwa adama nafikiri nguvu anaweka kule zaidi, kuendesha band sio kitu kidogo kaka na yeye kasema band ni ya sebastian ndege

Hivi nikifungua band ndio namkomoa mtu. Kweli kila kifo hakikosi sababu. Mbona kuna band nyingi hazilalamiki . Kuna top band, kuna b band etc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…