kupe
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 1,035
- 328
- Thread starter
-
- #41
Ruge hajajibu hoja hata moja ya Lady Jd.. Tutuma za Lady Jd ni Clouds kuwatishia wasanii watakaoshiriki kwenye tamasha lake au watakaotaka kutoa colabo na yeye nyimbo zao hazitapigwa clouds.. Tuhuma nyingine ni kujaribu kuwashawishi wadhamini kutoshiriki kumdhamini yeye na bendi yake.. Na tuhuma nyingine ambazo ni mbaya zaidi ni mpango wa Ruge & Kusaga kumfanyia zengwe ili atimuliwe kwenye ukumbi anaoutumia.. Hizo ndo tuhuma nilizozisoma na kuzielewa toka kwa Lady Jd.. Ruge hajajibu hata moja zaidi ya kutengeneza platform ya yeye & Kusaga kuonekana victim kwenye issue..
Sasa na wewe unakuja kama Ruge.. Duuh.. Saidia basi kujibu tuhuma hizo..
Hii pia hainiingii akilini hivi utafukuzwaje kwenye ukumbi hali upo hapo kwa mkataba wa kisheria au huo ukumbi anapiga kienyeji? Mimi namshauri jide aende shule hajachelewa sana. Elimu itamfanya aweze kutunga hata uongo wenye akili lakini sio huu wa kitoto. Shule muhimu