nimemuelewa Ruge 100%


Hii pia hainiingii akilini hivi utafukuzwaje kwenye ukumbi hali upo hapo kwa mkataba wa kisheria au huo ukumbi anapiga kienyeji? Mimi namshauri jide aende shule hajachelewa sana. Elimu itamfanya aweze kutunga hata uongo wenye akili lakini sio huu wa kitoto. Shule muhimu
 

nafikiri ni mgeni katika haya mambo, hebu anza kwa kujiuliza Sugu alizungukwaje kwenye dili la malaria? then utaelewa nini ruge hufanya
 
 
wasani wengi wana muogopa huyo ruge ambeye anadai kuwa anawainu si kweri anawafanyia dhuruma kwakua anamiliki kumbi nyingi za starehe
 


Umri wake na shule wala haviendani...
 
wasani wengi wana muogopa huyo ruge ambeye anadai kuwa anawainu si kweri anawafanyia dhuruma kwakua anamiliki kumbi nyingi za starehe


Unaweza ukazitaja hizo kumbi nyingi?
Au ni mwendelezo wa hadithi tu za vijiweni mnakovutia bange??
 
Nyeusi iitwe nyeusi na nyeupe hali kadhalika. Kati ya hizo pande mbili hakuna hata mmoja mwenye haki wote mafisadi. nianze na Jde ni kweli ni muimbaji mahiri lakini alibebwa sana na clouds akatae abishe jde hakuwa zaidi ya stara thomas au ray c kimusic ukibisha rejea video zao miaka ya 2002...na kuendelea lkn Gadna alikuwa akipga nyimbo za jd hata kama c heat tena kbonde alpiga huku akisema shemeji.zaidi jd alkuwa kimya wkt wasanii wengne wakinyanyaswa na kulalamika.Tuje kwa Ruge huyu ni kupe fitna. alitengeneza bifu enzi zle walumendago na ect then akawagawa wanaume tmk,ameftnisha madj rejea shndano la madj.ameyaua makundi bora ya hiphop na dhulma nyingi bifu na sugu nk.Huyu hata ukimtetea vp ni mnyonyaji na anapenda kunyenyekewa
 
nafikiri ni mgeni katika haya mambo, hebu anza kwa kujiuliza Sugu alizungukwaje kwenye dili la malaria? then utaelewa nini ruge hufanya

Sugu alitaka kupewa mradi wa malaria na wamarekani . Lakini mwishowe akaonekana hana vigezo coz ule mradi ulikuwa ni mkubwa wa mabilioni sasa kumpa mtu asiye na mbele wala nyuma kisa mwanamuziki. Hana mke hana mtoto. Hana nyumba wala familia. Hata kampuni hana . Wala kundi la music. Na hata angepewa alitegemea clouds hao hao ndio wamtangaze. Wamarekani wanaona sio deal wakatafuta kampuni popular na yenye kundi la music ndio wakaipa clouuds fm na kundi tht. Sasa anaposema alizungukwa je alikuwa na mkataba wa kisheria? Na kama mkataba ulikuwepo. Why asingewashitaki hao wamarekani. Ukishindwa umeshindwa tu . Na kama huwezi huwezi. Na kwa kudhirisha kama wamarekani hawakukosea kumnyima mradi. Ona mwishowe akawachukua wahuni wenzie na kuanza kutukana clouds kuwaita mashoga. Je alipata nini mwishowe ? Kwa nini asingefungua kesi afaidike alipwe fidia. Kwa mwenye akili ataelewa
 
wasani wengi wana muogopa huyo ruge ambeye anadai kuwa anawainu si kweri anawafanyia dhuruma kwakua anamiliki kumbi nyingi za starehe

Mwanamuziki kamili kama mwanamuziki hawezi kuogopa radio station . Ukiona hivyo huyo si mwanamuziki ni mganga njaa. Hivi chris brown anapotunga music anatunga na kurecord ili upigwe redioni au ili auze na kufanya show apate pesa?
 
Vita ya panzi ndugu wakigombana chukua jembe kalime
 

Huna uwakika wakati Sugu anapigania Malaria No More hakuwa na kampuni? We unajua nafasi aliyokuwa anaplay January Makamba katka Malaria No More wakati yupo ikulu?
 

Ukitaka kujua alichokipata bada ya kuanza kuwaita mashoga akiwa na wahuni wenzake, muulize Ruge kwa nn alitaka apatanshwe na wahuni.
 
Ukitaka kujua alichokipata bada ya kuanza kuwaita mashoga akiwa na wahuni wenzake, muulize Ruge kwa nn alitaka apatanshwe na wahuni.

Sema wewe alichokipata baada kurekodi matusi na anaowaita anti virus..... Kaka empty tiny. Au wanasema mwenye kelele hana neno. Mtu mwenye akili timamu hawezi kupoteza muda kwenda studio kurekodi matusi. Ukiona hivyo ujue hakuna kitu hapo
 
Huna uwakika wakati Sugu anapigania Malaria No More hakuwa na kampuni? We unajua nafasi aliyokuwa anaplay January Makamba katka Malaria No More wakati yupo ikulu?

Kampuni kama kampuni na sio kampuni mkononi. Vipi tena ilikufa na hiyo kampuni baada ya mradi kuota mbawa?
 
Tangu mgogoro huu uanze cjaona hoja iliyozungumziwa...coz Jide amelalamika xaaana bila kueleza tatizo halisi...analalamika 2 kweny mitandao ya jamii kwamba anabaniwa riziki eti na kamtu kamoja hapa tanzania!...ila watever tha case, whether ruge mbaya ama mzuri, cjaona alichotakiwa kujibu!! Na wengi waliokuwa wanacomment wameandika kwa ushabiki 2. Coz kila m2 anaponda bila hoja. Ila 2cshangae, hata bungen cku hiz pako vivyo hivyo. Badala ya kucomment kwa hoja, tunaexpress emotions.... Tanzania xaxa ni Joto....hasira!
 

Ukiwa mgeni hapa Dar es Salaam lazima useme hivyo, ila sisi wenyeji tunamjua vizuri huyo jamaa, tunabaki kukushangaa.
 
nikivuta taswira alichofanyiwa sugu. . . .navuviwa kuwaita hawa jamaa (cloudccm)ni kirusi kwenye music industry ya bongo!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…