Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
milioni 30 tena kwa mafungu,ni dharau kubwa kwa wachezaji wazawa,kanunueni supu mnywe..Simba wametufanyia uhuni. Kagoma jana aliwafanya waarabu wakimbie pale kati. Wakaamua kukimbilia pembeni.
Jamaa si mwoga kabisa. Na ni mjeuri jana kacheza kama vile ni mzoefu. Yanga hii mali tuliiwahi. Simba wamekuja kutupora. Mungu anawaona nyie Mkia. Tunawapeleka CAS.
milioni 30 tena kwa mafungu,ni dharau kubwa kwa wachezaji wazawa,kanunueni supu mnywe..
Wanasheria wa utopolo wa humu jf leo siwaoni kabisa wakilizungumzia hili suala la kagoma kuichezea simba mechi ya jana . Nahisi ni aibu zile za kudanganywa na yule mwanasheria wao uchwara na kale kanjiti ka kilo 6 halafu wakaja mbiombio na kusema simba atapokonywa pointi.Simba wametufanyia uhuni. Kagoma jana aliwafanya waarabu wakimbie pale kati. Wakaamua kukimbilia pembeni.
Jamaa si mwoga kabisa. Na ni mjeuri jana kacheza kama vile ni mzoefu. Yanga hii mali tuliiwahi. Simba wamekuja kutupora. Mungu anawaona nyie Mkia. Tunawapeleka CAS.
Majamaa yaliamua kupita kwa Kapombe mara nyingi. Kocha naye hakutaka kumfanyia sabu Kapombe, sijui alitaka ambebeshe lawama!Simba wametufanyia uhuni. Kagoma jana aliwafanya waarabu wakimbie pale kati. Wakaamua kukimbilia pembeni.
Jamaa si mwoga kabisa. Na ni mjeuri jana kacheza kama vile ni mzoefu. Yanga hii mali tuliiwahi. Simba wamekuja kutupora. Mungu anawaona nyie Mkia. Tunawapeleka CAS.
Majamaa yaliamua kupita kwa Kapombe mara nyingi. Kocha naye hakutaka kumfanyia sabu Kapombe, sijui alitaka ambebeshe lawama!
Uzoefu wake kwenye mechi zenye mgandamizo mkubwa..makosa yanakuwepo kama binadamu.Majamaa yaliamua kupita kwa Kapombe mara nyingi. Kocha naye hakutaka kumfanyia sabu Kapombe, sijui alitaka ambebeshe lawama!
Aliyeandika Hadithi ya SIZITAKI MBICHI HIZI sterling akiwa Sungura ajengewe sanamu pale Utopoloni.Galasa hamna kitu hapo