Nimemuona Mungu katika mateso yangu.!!

ndayilagije

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2016
Posts
7,491
Reaction score
8,304
Hii imekaaje wadau,mbona katika raha hakuna anayadai kamuona.Au yupo tu kwa ajili ya hali ngumu?
 
Mungu Ni Mwema Kila Wakati. Kila wakati Mungu ni Mwema.
Lakini anatajwa zaidi katikati ya dhiki,yaani ukiwa mzima na balimi ziko full mezani ukisubiria kitifaya kwenye kiti kirefu humtaji sana. Subiri sasa wakati wa machozi!
 
Yupo kote sana tu,ila mara nyingi watu wanamkumbuka kwenye shida
 
Hate atheist wakati wa mkasa kama ajali Mungu anatajwa bila kujijua amemtaja Mungu . Roho inapokaribia kusepa inaona mengi.
 
Ndio hivyo ila inatakiwa umuombe katika shida na raha...sio kwenye shida/dhiki tu
 
Ni kweli Mungu anatajwa wakati wa shida na sio raha kwani wakati umejitosheleza kwa kila kitu unajiona wewe ni kila kitu na kusahau kuna aliyekupa pumzi. Anapotaka kuichukua ndio unamkumbuka .Hata hivyo kuna wachache wanaomkumbuka wakati wa shida na raha na ufalme wa mbingu ni wao japo sina uhakika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…