Ungemjibu kwa PM, na kumuuambua kwa PM
Mliyaanzia kwenye PM
Mngeyamaliza kwenye PM
Kama unajua maana ya ustaarabu
Mwehu akikuponda ya yai vinza, na wewe uchukue yai vinza umponde???
Mbona wakati anaanza tu kukutongoza
Zile popoz zake zote za PM
Ungekopi na kupaste hapa
Nadhani umgemuumbua zaidi
Kwa sasa natafsiri hamkukubaliana terms tu
He was one of your interest
Hivi nachoma mafuta yangu na muda kumfuata bazazi??
Pia nakutafsiri unaweza kwenda extreme za ku-blackmail mtu
Kama umeamua kumuumbua kwa staili hii
Akchwali, umenitisha
We Mpole hta kama nia yko ni kumpa za uso hujasaidia chochote, kwani jamaa anatumia pm kurubuni. Solution ilikua umtaje live wadada wamjue, vinginevyo umejiumbua. Kongosho nakupa big up kwan unaonekana ni wife material.
ulijuaje si yake mpoleeshda sio baiskeli. Sina shida na pesa ya mtu ninazo tayari shida una baisikeli waazima gari na kujifanya lako. Liv ur lyf.
Mizizi kama ameliwa asingesema.....we mpoole acha mikwaraaaa! Kama umeshaliwa sema!
Ungeliwa usingesema hata kama kuliwa sio ajabu..kwan kuliwa ajab? Ingekua tayar ningetoa na tbs ya gem zima ila alivo nywea nikajua hawez kitu.
Ukiona manyoya................................
kwani sheria inaruhusu kumuumbua kama ulifanya hapa sasa?sheria zinaruhusu nimtaje?
Mtaje, ukipigwa BAN nitakuombea msamahasheria zinaruhusu nimtaje?
sheria zinaruhusu nimtaje?
GXmia ilikuwa yake.
ulijuaje kaazima?
au kwa sababu uliazima jeep ukakonkludi kuwa naye ka-kopi pesti?
kwani sheria inaruhusu kumuumbua kama ulifanya hapa sasa?
Ulishaamua kutotumia PM kumuumbua,
malizia kabisa kumtaja.
Mtaje, ukipigwa BAN nitakuombea msamaha
mtaje tu PM ndo zinakatazwa kuanikwa....:lol:
Aisee!shda sio baiskeli. sina shida na pesa ya mtu ninazo tayari shida una baisikeli waazima gari na kujifanya lako. liv ur lyf.
Tehe.mtaje tu PM ndo zinakatazwa kuanikwa....:lol:
sitaji jina naanika pm msome mwandiko mtamjua tu mana ni moja wa maarufu hapa jf.