Nimemuona mwana jf kitaa




sikuwezi wewe ndio wale wale. endelea kutoa povu lako. kikubwa msg dlivrd. bye
 
Ingekuwa ni mimi na baiskeli yabgu sijui ungenianzishia thread ya namna gani...



shda sio baiskeli. sina shida na pesa ya mtu ninazo tayari shida una baisikeli waazima gari na kujifanya lako. liv ur lyf.
 
Mmmh makubwa pole mdada taratibu huku
 
We Mpole hta kama nia yko ni kumpa za uso hujasaidia chochote, kwani jamaa anatumia pm kurubuni. Solution ilikua umtaje live wadada wamjue, vinginevyo umejiumbua. Kongosho nakupa big up kwan unaonekana ni wife material.



sheria zinaruhusu nimtaje?
 
nkajua umeniona mimi. mimi hua naazima bajaj miguu mitatu pale makochi kwa Frank. napigia misele hadi huko kwenu. sasa hivi mafuta yalivyo panda bei niazime gari ya mtu halafu inizimikie njiani tabu ya nini? sanasana kama wikend mkuu kalala na gari nimehakikisha ina mafuta hapo ndo ntaiba niende zangu club sio kuazima. hata ikihalibika unaileta taratibu na kuipark zako kimya. kesho akiona atapiga kele mwisho wa siku anaipeleka gereji mwenyewe. haya mambo ya kuazima unaweza umbuka bule. Mia
 
GXmia ilikuwa yake.
ulijuaje kaazima?
au kwa sababu uliazima jeep ukakonkludi kuwa naye ka-kopi pesti?

kwani sheria inaruhusu kumuumbua kama ulifanya hapa sasa?
Ulishaamua kutotumia PM kumuumbua,
malizia kabisa kumtaja.

Mtaje, ukipigwa BAN nitakuombea msamaha

mtaje tu PM ndo zinakatazwa kuanikwa....:lol:


sitaji jina naanika pm msome mwandiko mtamjua tu mana ni moja wa maarufu hapa jf.
 
shda sio baiskeli. sina shida na pesa ya mtu ninazo tayari shida una baisikeli waazima gari na kujifanya lako. liv ur lyf.
Aisee!

Sasa bidada wewe ulijuaje kama huyo jamaa kaazima gari?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…