Nimemuonea huruma mume wangu baada ya kukagua simu yake

Status
Not open for further replies.
you have very shallow mindset
 
Kanuni ni hii.
Tiba ya usaliti ni kisasi.
Ndio ndio, ndio maana sisi wazaramo tumefundwa mafiga matatu, hutukuti tunalalamika, kwanza kukagua simu ya mume mwikooo...ukaguzi tutaukuta mbinguni, ndo ataposhaa ulikuwa pro zaidi yake.
 
[emoji441]
 
Wewe mwenyewe ulinipiga kibuti, unadhani ni nani angekubali kuchepuka na babu?
Sijui utakuwa ulifel wapi? maana vibabu ambavyo sio vichoyo kufungua pochi ndo vinaishi maisha ya starehe.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sijui utakuwa ulifel wapi? maana vibabu ambavyo sio vichoyo kufungua pochi ndo vinaishi maisha ya starehe.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nione huruma basi unifikirie japo mara moja tu
 
😎😎😎😎😎😎
 
Shida ni kwamba wanawake type yako wanapatikana GOOGLE tu

ukija in real life huku kwenye maisha yenyewe ya mahusiano na ndoa

kumpata wa aina yako nadhani tusubiri Kontena jipya ataloliumba Mungu ktk dunia ijayo...
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Afu sasa watu wa hivi ndo wanaolewa sasa.
 
Ndio ndio, ndio maana sisi wazaramo tumefundwa mafiga matatu, hutukuti tunalalamika, kwanza kukagua simu ya mume mwikooo...ukaguzi tutaukuta mbinguni, ndo ataposhaa ulikuwa pro zaidi yake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana mie lol.
 
Pole kuna under 20 siku hizi wanawinda sana wanaume wenye 30hado 45yrs sababu wako vizuri mfukoni pia hawajachoka kitandani.
Na havina matumizi makubwa, ungekuwa mke wangu nakupiga matukio mpaka uombe po mwenyewe
 
Pole kuna under 20 siku hizi wanawinda sana wanaume wenye 30hado 45yrs sababu wako vizuri mfukoni pia hawajachoka kitandani.
Na havina matumizi makubwa, ungekuwa mke wangu nakupiga matukio mpaka uombe po mwenyewe
Dah na Mimi ningekukomosha kabla ya kunipiga hayo matukio mkuu. Mie mtu akinifanyia ukorofi ajiandae kwa vitu vyovyote aisee
 
Halooo, unamuonea huruma??
Ningekuwa mimi kwenye hiyo nafasi yako sijui ingekuwaje yaani. Vile ningeliamsha dudeee.
Mind you anakupa kila kitu ambacho unahitaji na wewe unamfurahia.
Ukimvuruga utakuja kulalamika hapa kuwa mumeo hatimizi majukumu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…