SamuraiJack
JF-Expert Member
- Dec 24, 2017
- 225
- 239
Habari wanajukwaa?
Bila kupoteza muda ngoja nirnde moja kwa moja kwenye hoja. Nimekuwa nikimuota marehemu baba yangu mkubwa mara kwa mara japo alipata kufariki 2013 (Mungu amlaze mahala pema).
Japo alinilea toka udogoni kama mzazi wangu vile na kunichukulia kama mtoto wake. Nimekuwa nikimuota mara kwa mara tukiishi maisha yetu ya zamani kama muendelezo hivi. Na leo usiku pia nimemuota.
Hii katika ulimwengu wa kiroho inamaanisha nini?
Rakims Mshana Jr
Bila kupoteza muda ngoja nirnde moja kwa moja kwenye hoja. Nimekuwa nikimuota marehemu baba yangu mkubwa mara kwa mara japo alipata kufariki 2013 (Mungu amlaze mahala pema).
Japo alinilea toka udogoni kama mzazi wangu vile na kunichukulia kama mtoto wake. Nimekuwa nikimuota mara kwa mara tukiishi maisha yetu ya zamani kama muendelezo hivi. Na leo usiku pia nimemuota.
Hii katika ulimwengu wa kiroho inamaanisha nini?
Rakims Mshana Jr