SamuraiJack
JF-Expert Member
- Dec 24, 2017
- 225
- 239
Sawa sawaKm muislam muombee dua/ km mkristu msomee misa.
Aisee kumbe! nilikuwa sijajuaNi kawaida km Ulikuwa na Utaratibu wa kumuombea Dua kila baada ya muda fulani,Ule muda ukipitiliza Huwa anakumbushiaa!!! Kumbuka Dua ndio Chakula cha Marehemu.
Mmh sasa huko unanitisha! kwa nini umauti uninyemelee?Kuna mtu alisema ukiota ukiwa na mtu aliye fariki maana yake roho ya mauti kimwili au kiroho inakunyemelea.
Siku akija akisema twende zetu niliko ukikubari ndo habari yako itakua imeishia hapo.
Noma sanaKuna mtu alisema ukiota ukiwa na mtu aliye fariki maana yake roho ya mauti kimwili au kiroho inakunyemelea.
Siku akija akisema twende zetu niliko ukikubari ndo habari yako itakua imeishia hapo.
Noma sana
Kwanini marehemu anaombewa?Ni kawaida km Ulikuwa na Utaratibu wa kumuombea Dua kila baada ya muda fulani,Ule muda ukipitiliza Huwa anakumbushiaa!!! Kumbuka Dua ndio Chakula cha Marehemu.
Samahani nimekua mvivu wa kuandika, sasa ukiona hivo fanya maombi sana kivunja roho ya mauti.!Mmh sasa huko unanitisha! kwa nini umauti uninyemelee?
Sio Lazima kumwombea marehemu wako,Unaweza Ukaacha tu!! Ila mimi wangu nawaombeaa...Kwanini marehemu anaombewa?
hapo nimekuelewaSamahani nimekua mvivu wa kuandika, sasa ukiona hivo fanya maombi sana kivunja roho ya mauti.!
Simply hizo ndoto zitaondoka.
Ni kawaida km Ulikuwa na Utaratibu wa kumuombea Dua kila baada ya muda fulani,Ule muda ukipitiliza Huwa anakumbushiaa!!! Kumbuka Dua ndio Chakula cha Marehemu.a
Mkuu, hakuna kama hiko mkuu, marehemu keshaenda na kamaliza mwendo wake. Huko alipo hana kumbukumbu tena. Haya ya kuwaombea dua sijui misa n.k ni mapokeo ya kibinadamu. Matendo yake yatafutana naye, Roho yake imemrudia muumba wake aliyempa na mwili wa udongo upo Kaburini akisubiri siku ile ya kusimama mbele ya Mungu kwa ajili ya hukumu.
Unamuota katika mazingira gani?Habari wanajukwaa?
Bila kupoteza muda ngoja nirnde moja kwa moja kwenye hoja. Nimekuwa nikimuota marehemu baba yangu mkubwa mara kwa mara japo alipata kufariki 2013 (Mungu amlaze mahala pema).
Japo alinilea toka udogoni kama mzazi wangu vile na kunichukulia kama mtoto wake. Nimekuwa nikimuota mara kwa mara tukiishi maisha yetu ya zamani kama muendelezo hivi. Na leo usiku pia nimemuota.
Hii katika ulimwengu wa kiroho inamaanisha nini?
Rakims Mshana Jr
story za vijiweni hizi acha kupotosha watu wwKuna mtu alisema ukiota ukiwa na mtu aliye fariki maana yake roho ya mauti kimwili au kiroho inakunyemelea.
Siku akija akisema twende zetu niliko ukikubari ndo habari yako itakua imeishia hapo.
kma we ni Muislamu muombee sana dua mzazi.wako huyo na waambie wanawe wamuombee sana dua baba yao mna hicho ndo kitu anachokihitaji kwa sasaHabari wanajukwaa?
Bila kupoteza muda ngoja nirnde moja kwa moja kwenye hoja. Nimekuwa nikimuota marehemu baba yangu mkubwa mara kwa mara japo alipata kufariki 2013 (Mungu amlaze mahala pema).
Japo alinilea toka udogoni kama mzazi wangu vile na kunichukulia kama mtoto wake. Nimekuwa nikimuota mara kwa mara tukiishi maisha yetu ya zamani kama muendelezo hivi. Na leo usiku pia nimemuota.
Hii katika ulimwengu wa kiroho inamaanisha nini?
Rakims Mshana Jr