Nimemwona CAG moyo ukanifanya paahh!

Nakupa ww baraka zangu ukambariki kwa niaba yangu,,,
Habari wana jamvi! Nimemwona CAG hapa chuoni (UDSM), hadi machozi yakanilengalenga.

Nataka nikamsalimie na nimbariki!![emoji547]
 
Mkimbilie kashike suruali yake huku chini miguuni hakikisha unaikumbatia asiondoke kisha busu miguu yake na umwambie "Ee CAG uwasamehe kwani wanajua walitendlo". Baada ya hapo mwambie aende kwa amani
Hahaha dah
 
Mbariki mbarikiwa. Mpungie hata mkono tu. Walah tunampenda Prof. Assad.

Mungu ampe siku nyinyine nyingi za kuishi duniani.
 
Huna cha kuniambia wewe, your a just bunch of fools
Tumeshapitia huo umri wako wa mihemuko

Insane...
Hata mama na baba yako ni watanzani! Kama maneno yako ni sahihi basi wewe ni mnafiki kipeuo cha tatu!
 
Huna cha kuniambia wewe, your a just bunch of fools
Tumeshapitia huo umri wako wa mihemuko

Insane...
Unajianika ukiwa uchi wa nyama!!!

Me alone nawezaje kuwa "bunch" mkuu?

Niko sahihi wewe ni mnafiki kipeuo cha tatu.
 
Mtoto mshenzi tu wewe unaleta balehe kwenye uandishi kujifanya mjuzi kumbe mafi tu
Insane...
Unajianika ukiwa uchi wa nyama!!!

Me alone nawezaje kuwa "bunch" mkuu?

Niko sahihi wewe ni mnafiki kipeuo cha tatu.
 
Msalimie sana na umwambie neno "dhaifu" wameandikiwa watu fulani likiwa ni miongoni mwa dhambi zao.
 
Msalimie sana...mwanaume pekee aliyebaki TZ

Nyie vijana wa huko chuoni ni lazima mjifunze kutafiti mambo with a historical perspective!!! Huyu Mussa Assad unayemuita kuwa ndio mwanaume pekee aliyebaki hapa nchini; unajua historia yake alipokuwa mjumbe wa board ya NSSF na ufisadi uliotendeka under his watch? Leo hii kuna miradi mibovu shirika iliyowekeza ambayo si tu haijakamilika baada ya kutumia fedha nyingi za serikali, bali hiyo miradi chefu chefu ndio inayofanya baba zenu waishi kwa taabu uzeeni kwani shirika limefirisika kiasi kwamba wafanyakazi walioweka fedha zao pale hawapati haki zao!! Sasa huyu Mussa Assad na rafiki yake Ramadhani Dau ndio waliolifilisi shirika kwa ufisadi wao; DAU akiwa mtendaji mkuu na ASSAD akiwa mwenyekiti wa AUDITand INVESTMENT committee; wanapata wapi uhalali wa kujiita wazalendo wa kweli? Leo hii watu wamesahau ufisadi mkubwa uliotendeka na badala yake wanamsifia kuwa ni shujaa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…