Nimemwona CAG moyo ukanifanya paahh!

Sasa unamaanisha mkuu wa nchi hio historia alikua hana????? Au kwakua kashika kunako ndo unaleta history mkuu!!! What a pity dah...unatia aibu sana mkuu.
Halafu mim sio kijana wa chuo[emoji19]
 
Sasa unamaanisha mkuu wa nchi hio historia alikua hana????? Au kwakua kashika kunako ndo unaleta history mkuu!!! What a pity dah...unatia aibu sana mkuu.
Halafu mim sio kijana wa chuo

Magufuli amemkuta ASSAD as CAG kwani aliteuliwa na Vasco Dagama; lakini Magufuli historia ya Assad na DAU na damage waliyoifanya NSSF anaifahamu nadhani anawalia timing kabla hajafukua makaburi yao!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…