Nimemwona Wema Sepetu, nimeshangaa kwanini tuna mu-Over rate sana

Ni U super star tu ndiyo unasababisha watu wamuone mzuri, lakini naamini kabisa humu JF kuna wadada wazuri mno kumshinda Wema.
 
Dar kuzuri eeh?
 
Hahaaaa ndie aliyemfanta Zarithebossy aachane na Chibu, yaani Wema kachokaa sijui papaa yake itakuwaje maana duuu. TID, MR BLUE, DIAMOND, DIMPOZ, IDRISS SULTAN, CARLISA...... Mtamalizia wenzangu majina mengine.
Kanumba
 
Yeah wanapitiliza kwenye umbo. Wanashindwa kuelewa mwanamke asie na hips akawa na tako tu ndo anakua na shape kama ile ya Wema.

Hata sura including those loving lips unaweza ishia kumnyonya the whole day hakuna haja ya kuhangaika na papuchi.....
 
Upo sawa100% huyo wema ni wa kawaida sana sema bas tu mambo ya mjini,kwa mwali wangu japo mama wa nyumbani hampati hata kwa chembe,anajazwa sifa tu
 
Wema mzuri wewe acha fix
Nyie mnaleta habari za team zenu. Wema wa hovyo tu. Alikuwa mzuri but kajiharibu. Like tako moja kubwa kuliko jingine. Au wewe chongo au hujamuona live. Duh hata kusema mmezidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…