Nimemzidi umri kwa miaka 12

Huyo kijana hana account humu JF,maana nijuavyo mimi akiingia humu na akaperuz na kukutana na hii thread it will be the end of you and him,ndio maana mimi hizi story mara nyingi huwa naona kama za kutunga.
 
Huyo kijana hana account humu JF,maana nijuavyo mimi akiingia humu na akaperuz na kukutana na hii thread it will be the end of you and him,ndio maana mimi hizi story mara nyingi huwa naona kama za kutunga.
Jamaa atatoka nduki
 
ulikua wap mda wote huo mama?? kwel 44 had lek duu kuna walakini hapa.
 
mihemko ya ukubwani bhana, haya endelea na kuhemka tu!!
utuletee majuto hapo baadae
 
Hakuna mwanamke mzuri wa kuwa naye kimahusiano kama Mmama mtu mzima.
 
Mh. kama i dada ako hapo braza amepata aisee
 
Pole sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…