Nimenasa kwa mke wa mtu mtarajiwa

Starehe na rahisi sana Ku type kwa kutumia vidole
 
Binafsi huwa nadhani hakuna mwanamke atakayemsumbua mwanaume kama mwanaume yupo busy na maisha yake.

-Wapo wanawake wa kukuambia tutoke kama hauna muda nae?
 
Usiombe mwanamke akugande namna hii, kama huna moyo mgumu utadata.

It heppened to me once, binti alikuja kwangu toka Mwanza kwa minajili ya kuonana na kusepa. Alipofika kidogodogo akapafanya kuwa kwake.

Uzuri mimi sikuwa na mpenzi zaidi yake ila kitendo cha kuhamia kwangu passively kilinitia wasiwasi. Ikafika muda wa mimi kusepa pale nlipokuwa maana kilichonileta kilikuwa kimeisha.

Kimbembe kikaja kwenye kuachana. Binti akawa hataki kabisa nisepe. Akatafuta sehemu akalipia kila kitu tukaendelea na maisha. Hapa na hapa ikabidi baharia nitafute mahali pangu kimya kimya nikalipia na kuweka mipango mizuri ya kumtoroka.

Katika vitu nlivyojichanganya ni kuruhusu apajue kazini kwangu. Baada ya kugundua nimesepa pale kwake akatia maguu kazin kwangu. Tena kipindi hiko akawa anadai ana mimba yangu. Ilikuwa kasheshe.

Mengi yalitokea hapo kati lkn mwisho wa safari tuliachana. Kinachonisikitisha kwa sasa katangulia mbele za haki.

Mpende sana huyo dada na tumia akili na busara sana kum-handle. Naamini akishazaa akili zitamkaa vizuri.

RIP Kanze


Unforgetable
 
Alikuwa member wa jf pia??
 
Ukiwa mwongo usiwe msahaulifu...
 

Rest easy Kanze


Cc Kingsmann
 
Kosa unalo

Acha hiyo tabia ukiendelea nakuhakikishia hata ww ukioa ndoa yako itasuasua
 
Nanusa harufu ya rafiki yake kumwambia mume mtarajiwa.. kuwa makini. Wanawake wakileta umbeya wa shosti.. ni wivu kwa kwenda mbele.. na labda anatamani wewe angekupata ikiwa rafiki yake ana mchumba na yupo vizuri pia..
 
Haya Mambo yapo aisee, wote kwa pamoja wanawake na wanaume huwa haturidhiki, mimi sijaoa ila nina demu wangu mkali sana yani nampenda na yeye ananipenda sana.

Sasa kwenye grop moja la wassap nimempata bibie mmoja kutoka Zenji utani utani bibie kazama bila kutongozana stori sana tunachati bila kikomo yeye kaolewa na anamtoto mmoja.

Ghafra nimejikuta nazama kwa mahaba kwa huyo binti yeye anasema isingekuwa bahari angenipa mzigo mapema sana, analalama mumewe yupo bize sana na hata akiongea nae kwenye simu hainjoi kama anavyoongea na mimi na hata akirudi anakuwa kachoka sana.

Ni mke wa mtu lakini chati sasa daah mumewe akija ona ni aibu aisee wanawake wakipenda anakutumia chochote kilichopo mwilini mwake kama yule dada wa biliani, sasa bibie kaanza kunimiliki hataki nimtende wala nimsaliti hakumbuki kama yeye kashaolewa.

Sijamla ila ninampango wa kumla iven if yeye ni mke wa mtu kozi ni bonge la toto tena bado bichi kabisa heshima lazima iwepo, so mtoa Mada kula kwa uangalifu kumbuka mke wa mtu sumu ohoooo usije sema hatujakwambia hapa.
 
atakuwa demu wa kiduku lilo huyo...Ila jamaa hata akijua hana shida,ataenda kutafuta mwingne Japan.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…