Nimenasa kwa mke wa mtu mtarajiwa

atakuwa demu wa kiduku lilo huyo...Ila jamaa hata akijua hana shida,ataenda kutafuta mwingne Japan.
 
Vuka bahari uje kula mzigo na marinda uache huku huku
 
Jamvi refu sana ili
 

Kuwa mvumilivu tu hayo mambo yataisha hiyo ni mimba tu imekupenda wewe, I had the same issue, tena huu msala wako ni mdogo ila mambo yaliisha pindi alipojifungua
 
Pole sana jamaa kwa misukosuko.swali lang moja tu kwako unahisi njia sahihi ya kuepuka msala ni kuhama chumba?kumbuka bibie napajua hadi officin!!!
 
duh mtandao pendwa unanukia
 
Binafsi huwa nadhani hakuna mwanamke atakayemsumbua mwanaume kama mwanaume yupo busy na maisha yake.

-Wapo wanawake wa kukuambia tutoke kama hauna muda nae?
Broo mwanamke akikupenda mbona utaona kero yaan wanawake wanapenda kwel,na ole wako akikuambia kitu umkatalie mbona utajuta aisee kama ni mbele za watu ana-angusha kilio kabsa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…