Mr Suprize
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 869
- 961
Habarin wapendwa!
Usiku huu nimen'gatwa na mbwia nkiwa napita mitaa flani hivi.
Naomba kwa anayejua huduma ya kwanza aniambie.
Na je kuna njia mbadala ya kufanya pasipo kwenda hospital?
Aanteni.
Usiku huu nimen'gatwa na mbwia nkiwa napita mitaa flani hivi.
Naomba kwa anayejua huduma ya kwanza aniambie.
Na je kuna njia mbadala ya kufanya pasipo kwenda hospital?
Aanteni.