Nimeng'atwa na tandu, huduma ipi ya kwanza nipate?

Nimeng'atwa na tandu, huduma ipi ya kwanza nipate?

Yna aika

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2017
Posts
350
Reaction score
1,022
Habari ya usiku wapendwa,

nmeng'atwa na tandu usiku huu ila nmefanikiwa kumuua,

Huduma ipi ya kwanza niipate kabla ya asubuhi?

Kuna storu nyingi kuhusu tandu zinszoogopesha.

Msaada tafadhali
 
Tandu
IMG20220331001815.jpg
 
Back
Top Bottom