Mbona bia zangu zimeisha kwenye friji nani kazinywa
kama zimeisha si uje tunywe hizi zangu....mi bado nnazo
ulikuwa unakunywa nini ili niongezee.....
kama zimeisha si uje tunywe hizi zangu....mi bado nnazo
ulikuwa unakunywa nini ili niongezee.....
:A S 13::A S 13: ha ha ha ha haaaaaaa..........hii kali,nusura ning'oe mtarimbo....l.o.l
ungeuliza na wasichana waling'oa nini? tupate both sides experiences....l.o.l:wink2::hand::hand:
Mkuu,hii ki2 siyo mchezo na 2ache utani panakuwa hapatoshi. Kama ni gest basi pindi unatoka lazima macho yawe chini.
sio wanaume wote waliowahi kukata utepe ila wanawake wengi matured(japo si wote) wameiexperience hiyo exercise nadhani ndio wangeweza kujibu vizuri zaidi
Mi nakumbuka nilikabwa shingo..kidogo nife