Nimeng'olewa jino nikimchakachua b.k...!!!

Digaller

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2009
Posts
798
Reaction score
541
Wakuu, japo wanaume wengi tunapenda wasichana ambao ni bikra ila ukweli ni kwamba tunapata adhabu kubwa sana kwenye utoaji wa hii kitu. Mimi niling'olewa jino nilipokuwa napeleka mtalimbo. je wewe yalikupata yapi ulipokuwa unamtoa mtoto wa watu b.k???
 
Mbona bia zangu zimeisha kwenye friji nani kazinywa
 
:A S 13::A S 13: ha ha ha ha haaaaaaa..........hii kali,nusura ning'oe mtarimbo....l.o.l
ungeuliza na wasichana waling'oa nini? tupate both sides experiences....l.o.l:wink2::hand::hand:
 
:horn::horn::horn::horn::horn::horn::horn::horn::horn:
 
:boxing::boxing::boxing::boxing::boxing::boxing::boxing:

:A S-omg::A S-omg::A S-omg::A S-omg::A S-omg:
:A S-omg::A S-omg::A S-omg::A S-omg::A S-omg:
:A S-omg::A S-omg::A S-omg::A S-omg::A S-omg:
 
Mbona bia zangu zimeisha kwenye friji nani kazinywa

kama zimeisha si uje tunywe hizi zangu....mi bado nnazo
ulikuwa unakunywa nini ili niongezee.....
 
sio wanaume wote waliowahi kukata utepe ila wanawake wengi matured(japo si wote) wameiexperience hiyo exercise nadhani ndio wangeweza kujibu vizuri zaidi
 
kama zimeisha si uje tunywe hizi zangu....mi bado nnazo
ulikuwa unakunywa nini ili niongezee.....

Asante mama Aika ngoja nije na huku tunywe hizo zako. Mi nakunywa Ndovu vuguvugu.

Ila mkanye huyo mwanao Gbollin asirudie tena kunywa bia sangu kwenye friji. Unaona sasa amelewa hadi anaansisha sredi ya ajabu. Ili uwese kung'oa jino la binadamu si lasima uwe na nyundo na bisibisi? Chaa!

Nakuja na we
 
Mi nakumbuka nilikabwa shingo..kidogo nife
 
kama zimeisha si uje tunywe hizi zangu....mi bado nnazo
ulikuwa unakunywa nini ili niongezee.....

Hiyo avatar yako kila nikiiona nahisi joto linaongezeka. Sijui kwa nini!!!!!
 
Mbona bia zangu zimeisha kwenye friji nani kazinywa

Mkuu,hii ki2 siyo mchezo na 2ache utani panakuwa hapatoshi. Kama ni gest basi pindi unatoka lazima macho yawe chini.
 
:A S 13::A S 13: ha ha ha ha haaaaaaa..........hii kali,nusura ning'oe mtarimbo....l.o.l
ungeuliza na wasichana waling'oa nini? tupate both sides experiences....l.o.l:wink2::hand::hand:

Asante michelle,nadhani nao pia wata2ambia action walizochukua pindi wanatolewa hiyo ki2.
 
Mkuu,hii ki2 siyo mchezo na 2ache utani panakuwa hapatoshi. Kama ni gest basi pindi unatoka lazima macho yawe chini.

Mkuu, mi najua sana hicho unachoongea lakini siyo kung'olewa jino. Uki-adjust hilo tu tutaflow kama kawaida.
 
kama zimeisha si uje tunywe hizi zangu....mi bado nnazo
ulikuwa unakunywa nini ili niongezee.....

Njooni kwangu kuna uganda waragy na amarula 2jadili hii ki2
 
sio wanaume wote waliowahi kukata utepe ila wanawake wengi matured(japo si wote) wameiexperience hiyo exercise nadhani ndio wangeweza kujibu vizuri zaidi

Hakuna tatizo mkuu, maadam mada ipo na wameiona basi wamekusikia na wata2fikia. Karibuni wadada nanyi m2eleze mliwafanya nini wakaka mlipokuwa mnatolewa b.k
 
mhh mimi bado nnayo kama wengine mpaka wanangolewa meno...
 
Nilimng'ata mkono mpaka leo nikimwangalia lile kovu huwa nacheka sana,nikivyoona kang'ang'ana nilijipigiza kichwa kwa bahati mbaya kwenye mbao ya kitanda nusu fahamu zinitoke lol sipendi kabisa ile experience
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…