NIMENOGEWA

Jana alifikisha salaam kumbe ni kweli honeymoon mbona kwingine unaonekana
Ndiyoo,aghh nilikuwa najinyoosha viungo kwanza huku ili nikija huko niwe mwepesii..
 
Unaibiwa ..mpaka umekuwa zezeta yaani kitumbua tu kina kutia uchizi .sio bure unapaswa kuonana na mkemia mkuu "
 
Lumumba buku 7 wa mapenzi.
Endelea kusifia.
 
Hizi ndio mada za kufungia moods
Nini sasa hiii
Mnatushushia hadhi jamii forum
Kama huna cha kupost acha
 
Ivo vitumbua kinamafuta yale yakupakaa mikoni baada ya kumalza kula...isje kuwa unakisifia kumbe hakina mafuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…