Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kupata ajira ila nakushauri kwa vile kasia ni kubwa kuliko mwiko wa kusongea ugali nyumbani. Mshauri shemeji yangu mfungue kibanda cha mama ntiiie muwe mnasongea ugali.Wakuu nilipita katika pwani ya bahari nikaona kijana amebeba kasia nikampa elfu tano akaniuzia.
Naweza kulitumia hili kupata ajira pale airport niwe nawafungulia milango ya ndege?
Hii mada sio serious sana mkuu.Huwezi kupata ajira ila nakushauri kwa vile kasia ni kubwa kuliko mwiko wa kusongea ugali nyumbani. Mshauri shemeji yangu mfungue kibanda cha mama ntiiie muwe mnasongea ugali.
Umepata nyenzo nzuri sana ya kuanzia maisha kwanza namshangaa aliyekuuzia kasia kwa shillingi elfu tano lilivyo gumu kulitengeneza anatakiwa akapimwe akili.
[emoji23][emoji23][emoji23]Wakuu nilipita katika pwani ya bahari nikaona kijana amebeba kasia nikampa elfu tano akaniuzia.
Naweza kulitumia hili kupata ajira pale airport niwe nawafungulia milango ya ndege?