emmarki
JF-Expert Member
- Nov 22, 2012
- 1,001
- 1,430
Wadau,
Nikiwa nahangaika kupata materials ya lishe kwa ajili ya shangazi yangu mwenye kisukari.
Nilizunguka soko la mbuyuni Moshi kila kona kutafuta mbegu za maboga sehemu moja nilienda bei Kg 1 ni kuanzia 15000, nikajua hataki kuniuzia kwa sababu mwaka jana nilinunua 8000 kwa kilo.
Nikaenda kwa mwingine bei ndio hiyo, baada kuchoka nikaambulia aliyeniuzia 12000 kwa kilo moja.
Hoja yangu, watu wameamka na wamejua umuhimu wa hizi mbegu kwenye afya zao, haswaa kwa wanaume. Watafiti wetu muingie maabara mje na breed ya boga yenye uwezo wa kutoa mbegu nyingi, kwa sababu mbegu zake zimekuwa dili kuliko boga lenyewe.
Nikiwa nahangaika kupata materials ya lishe kwa ajili ya shangazi yangu mwenye kisukari.
Nilizunguka soko la mbuyuni Moshi kila kona kutafuta mbegu za maboga sehemu moja nilienda bei Kg 1 ni kuanzia 15000, nikajua hataki kuniuzia kwa sababu mwaka jana nilinunua 8000 kwa kilo.
Nikaenda kwa mwingine bei ndio hiyo, baada kuchoka nikaambulia aliyeniuzia 12000 kwa kilo moja.
Hoja yangu, watu wameamka na wamejua umuhimu wa hizi mbegu kwenye afya zao, haswaa kwa wanaume. Watafiti wetu muingie maabara mje na breed ya boga yenye uwezo wa kutoa mbegu nyingi, kwa sababu mbegu zake zimekuwa dili kuliko boga lenyewe.