IJIGHA NDIO HOME
JF-Expert Member
- Jul 13, 2019
- 760
- 823
Habari wakuu, nanshukuru mungu nimenunua kuku wanne wa miezi mitatu shiling 5000 kila moja nategemea kila mwezi kuongeza wengine kumi.malengo yangu nataka niwe nakuku 20 wa mayai. Nimetengeza Banda kwa kutumia mabanzi.
Huku ludewa (NJOMBE) mabanzi Ni kutosha unajiokotea tu, nikanunua turubai kubwa kwa ajili ya mvua. Naombeni ushauri wenu kwa hapa nilipofikia.
Huku ludewa (NJOMBE) mabanzi Ni kutosha unajiokotea tu, nikanunua turubai kubwa kwa ajili ya mvua. Naombeni ushauri wenu kwa hapa nilipofikia.