Hapa Mitaani kwetu nimenunua sukari ambayo ukiweka kwenye chai haikolei kabisa. Hii sukari imekuwa tofauti kabisa na sukari ya Kiwanda cha Kagera au Kilombero.
Nawashauri TBS wafanye ufuatiliaji ili kuona kuna tatizo gani.
Hapa Mitaani kwetu nimenunua sukari ambayo ukiweka kwenye chai haikolei kabisa. Hii sukari imekuwa tofauti kabisa na sukari ya Kiwanda cha Kagera au Kilombero. Nawashauri TBS wafanye ufuatiliaji ili kuona kuna tatizo gani.