Nimenusurika kupata ajali ya gari leo asubuhi

Nimenusurika kupata ajali ya gari leo asubuhi

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Sielewi imetokeaje hii kitu ni mara ya pili hii kwenye parking ipo hivi.

Nimetokaa zangu uko na gari ya watu premio toyota nimepaki vuzuri tu nimemaliza mambo yangu nataka kupeleka mzigo sehemu husika ile narudisha gari nyuma ghafla naona bampa la mbele limetona linabuluza chini, nakanyaga brake nikahisi gari linanirusha nashuka niangalie labda kama nimegonga mti hapana nimegonga gari la watu hapana. Je, chini kulikuwa na jiwe hapana up now sipo sawa najiuliza hii imetokeaje

Ila nahisi ni kwasababu gari nyepesi sana nishazoea IST nimeingiwa na uoga up nimejiapiza sitoendesha gari tena.
 
Up now sielewi imetokeaje hii kitu ni mara ya pili hii kwenye parking ipo hivi

Nimetokaa zangu uko na gari ya watu premio toyota nimepaki vuzuri tu nimemaliza mambo yangu nataka kupeleka mzigo sehemu husika ile narudisha gar nyuma gafla naona bampa la mbele limetona linabuluza chini nakanyaga brak nikahisi gari linanirusha nashuka niangalie labda kama nimegonga mti hapana nimegonga gari la watu hapana je chini kulikuwa na jiwe hapana up now sipo sawq najiuliza hii imetokeaje

Ila nahisi ni kwasababu gari nyepesi sana nishazoea IST nimeingiwa na uoga up nimejiapiza sitoendesha gari tena
Pole sana,ndio ubaya wa kujifunzia gari automatic! Manual mkuu ndio ushindi usingekuja kulalama hapa.
 
sasa ajali gani hiyo 😂😂🙄.

women are complex funny creatures
 
Duh kwamba unamaanisha nin
Mnakuwa na haraka sana,hamko makini kwenye ukaguzi wa magari nyie ni mwendo tuu,Sisi tuliojifunzia manual ,hata kama umetoka nalo gari na kupark huwa tunaangalia Tena ulivyoliacha ni sawa?Hii ndio faida ya kujifunzia gari ya manual.Pili tupo makini barabarani na hatuna woga.
 
Back
Top Bottom