Nimenusurika kuuawa Guest house baada ya mpenzi wangu kupandisha majini

Ww Joka jeusi shukuru Mungu walah huyo jini angekuzuru.... Inaonekana anampenda huyo dada hadi basi

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Pole sana mkuu , naelewa ni nini unazungumza , dah popote ulipo Aidath ,Mungu anakuona shetani wewe.

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Warda naye vipi hajasema anakupeleka kwa Ndugu zake chini ya Bahari.
Hahaha! Nasubiria hayo maneno ya Kikulungwa maana ukiwa MWANAUME lijali misala Kama hiyo yaweza tokea.
 
Umenikumbusha mbali sana....misala kama hii huwa inatokea sana... Nilisha ingiaga kwenye kumi na nane za aina hii kwa beki tatu wa home enzi tunakua. Alikuwa akiitwa Zuena....mtoto wa kisingida. Mweupe kama malaika. Romance haikuwa noma kwake...ishue ni pale utakapotaka mzigo....akikudaka shingo na ukachomoa, ni swala la kwenye ibadani kumshukuru mungu
 
We ulikuwa mdebwedo tu

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
...Wasiliana na Shigongo!....
 
Hii kitu iliwahi kunitokea mimi mwenyewe. Demu alipandisha majini room dah acheni
 
Ndio maana mimi wenye majina ya warda, salma, hadija...mmmh!
 
Hv mtu kama huyu mwenye uwezo wa kujua mpaka mahali ulipo, vp pia anaweza kua na uwezo wa kukuonesha ni biashara/kazi gani ukifanya utapata pesa mingi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…