Nimenyang'anywa kazi mkononi


ningekuwa cjiamin nicngeweka hapa.
 
Mkuu usikate tamaa,iko siku mambo yatanyooka,pole sana!
 
Pengine uliitwa interview ya pili ukafikiri unaitwa kazini si unajua mambo ya kingereza tena.
 
Pengine uliitwa interview ya pili ukafikiri unaitwa kazini si unajua mambo ya kingereza tena.

watu wengine bwn, kama we hujui kingereza ucdhani na wenzio ni hivyo hivyo!
 
Labda ulikuwa mzito au ulifail kucatch up kwenye training,anyway wakati mwingine utapata.
 
Sema ni kampuni gani coz mi nina kisa na AIRTEL mdau kuna mdada alinipokonya kazi tam ni HR hapo anaitwa.....
 
Huwezi jua pengine umeepushwa na "ngoma" huko kazini. si unajua tena mahusiano makazini.
 
jaman maisha haya mpaka lin, pole bwana na karibu tena kijiweni,ipo tutaandamana mpaka wanako lala maana huku ofini wameshkuwa sugu
 
Ckuwah kuimagn kuwa unaweza kunyang'anywa kaz hv hv, nilipata kaz kwny kampun moja ya cm cha ajabu cku ya kuanza training 2kaambiwa 2fanye interview jaman kazi hzi, kumbe walishatuchakachua.

ulitaka kazi bila interview?
 
ningekuwa cjiamin nicngeweka hapa.

Sasa unaogopa nini kutaja jina tu la kampuni , kwani si kweli imetokea au unadanganya hilo halikutokea? watajuaje ID yako ya JF ili wakunyime kazi siku nyingine? kama ndio hivi wewe utakosa kazi nyingi sana... hujui kutetea haki yako!!!
 
Sasa unaogopa nini kutaja jina tu la kampuni , kwani si kweli imetokea au unadanganya hilo halikutokea? watajuaje ID yako ya JF ili wakunyime kazi siku nyingine? kama ndio hivi wewe utakosa kazi nyingi sana... hujui kutetea haki yako!!!

utakosa kaz mwenyewe
 
inawezekana walijua kuwa wale waliokwenda interview walichakachua hivyo wakataka kuhakikisha kama kweli hao watu wameingia kihalali, ndo hivyo tena yakawakuta...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…