Tatizo weye Mdau hujiamini Ndo maana ulichakachuliwa..we ushafanya interview ya kwanza unaenda training unaambiwa kuna nyengine hata huulizi maswali..Af ps unaweka hapa Habari nusuNusu Lisa unaogopa Hadi kivuli chako..sasa watakujuaje au username ndo uliombea kazi
Haya ni maneno tu ya kufarijiana, bila juhudi binafsi unaweza ukangoja sana
Mkuu usikate tamaa,iko siku mambo yatanyooka,pole sana!
Pengine uliitwa interview ya pili ukafikiri unaitwa kazini si unajua mambo ya kingereza tena.
walisema watatuita tena 4training
walisema watatuita tena 4training
Hujanyang'anywa kazi.....hukufanikiwa kwenye usaili.wacha kujipotosha au kupotosha wasomaji.
Ckuwah kuimagn kuwa unaweza kunyang'anywa kaz hv hv, nilipata kaz kwny kampun moja ya cm cha ajabu cku ya kuanza training 2kaambiwa 2fanye interview jaman kazi hzi, kumbe walishatuchakachua.
ningekuwa cjiamin nicngeweka hapa.
Sasa unaogopa nini kutaja jina tu la kampuni , kwani si kweli imetokea au unadanganya hilo halikutokea? watajuaje ID yako ya JF ili wakunyime kazi siku nyingine? kama ndio hivi wewe utakosa kazi nyingi sana... hujui kutetea haki yako!!!