Kuna dalili za kila rangi kwa mleta mada kupatwa na maradhi ya moyo na msongo wa mawazoNaomba ushauri jinsi ya kumlinda makapera maana wabongo hawakawii kujifanya wanampenda kuliko Mimi niliyemuoa
Mbona kama ana manywele mengi miguuni, hebu mwambie apunguze nguo ili tukushauri vizuri
Haha kweli wewe kiboko,kweli kuambiwa weka picha ya mkeo nawewe unaweka tena na kibwagizo juu eti "ona paja jeupeeer"Angalia mwenyewe kitu kilivyotulia na paja jeupeeeerr
Hahaa.. unajua mi sinaga swagga kabsa [HASHTAG]#Msodokiiiii[/HASHTAG]
Unataka utukanwe matusi mazito ukae nayo moyoni maisha yako yote. avoid such nasty postsNaomba ushauri jinsi ya kumlinda makapera maana wabongo hawakawii kujifanya wanampenda kuliko Mimi niliyemuoa
Aliye mtoa bikira yumo humu ngoja aje atuthibitishie kama ni mzuri au hapana
huyu kajitakia mwenyewe....hii sio mada ya kuleta kwenye jamii yenye watu wengiKuna dalili za kila rangi kwa mleta mada kupatwa na maradhi ya moyo na msongo wa mawazo
Huyo mke au gube gube, Matatizo ya kuzaliwa vijijini kila ukiona rangi nyeupe unahisi mzuri wengine wamejichubua na kunywa vidonge wawe hivyo, Shame on youNaomba ushauri jinsi ya kumlinda makapera maana wabongo hawakawii kujifanya wanampenda kuliko Mimi niliyemuoa
We msukuma??Ananoga nazi kuliko wa lema halafu yeye sio mbongo wakati mke wa lema ni mbongo tatu ni mweupe kuliko wa lema