NIMEOA MKE MZURI KULIKO WA GODBLESS LEMA

Huyo mke au gube gube, Matatizo ya kuzaliwa vijijini kila ukiona rangi nyeupe unahisi mzuri wengine wamejichubua na kunywa vidonge wawe hivyo, Shame on you
Alzaliwa hv²
 
Kwani mke mzuri ndio anakuwaje labda na vigezo gani anakuwa navyo kwa mfano…

Na mke mbaya anakuwaje labda na vigezo gani anakuwa navyo,

Ninavyo elewa mimi nikwamba unachokiona kwako kizuri kw wenzako kinaweza kuwa kibaya chakutema mate,

Hivyo usikiri uzuri unao muona nao mkeo basi kila mtu atamuona hivyo
 
Uzuri na ubaya ni upumbavu wa macho yako..usitumie watu kupima..
 
Mbeya/mwanjelwa
Weee chunga mdomo wako tokapa,unaishi Idiwili ndani huko km sio mwashiwawala magharibi huko na uchafu wako unao leta ukungu kwenye vioo vyetu.

~Tena ww unawafahamu watu wanao ishi mwanjelwa ww au unatutafuta maneno afu ww wa wap?huyo umemta kapyeree mana nikaribu na tunduma kwa mkorogo huo huo ss wa mwanjelwa hatujichubui tuko bize kutafuta hela.

Nb;Unswaki ghwa fiki bho uka na mino?mwa ngende nee ohooooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…