Nimeolewa ila sijui ni kwanini namtamani sana huyu kichaa

ngoja na mimi nijaribu kujifanya kichaa pengine naweza kula mema ya nchi
 
hi hivi bado tu hujamtunuku huyo kichaa
 
Binafsi nadhani kinachokufanya umtamani ni kwa sababu umeuona uchi wake na umefikia hatua umeulinganusha na WA mumeo ukaona wa mumeo ni cha mtoto

Huko kumtamani, siku akiamua kukubaka NAKWAMBIA UTABAKIKA... utatoa ushirikianilo KAMA WOTE... utamwaga uno na maana...

Inavyoonekana, ikitokea ukaona uchi wa asiye kichaa na ukawa mzuri kwa viwango vyako.... Wallah atakugegeda..
Chukua hatua
1. BADILI njia unayopita
2. Omba SANA Kwa Mungu wako
3. Kuwa karibu zaidi na mumeo... Gegedwa na mumeo ikiwezekana kutwa mara nyingi zaidi
 
Hivi kweli nitaoa Mimi Mmmh! Kwahaya niyaonayo humu Du!
Au sijui Nileft kwanza hili jukwaaa hata mwaka mzima kila siku nazidi kuwa na Wasiwasi na ndoa za sasa
 
avatar doesnt reflect a God fearing woman, let alone married

Upuuzi huu unaishusha sana JF
 
Picha please
 
Mume hakutoshelezi picha please
 
Duuh!!!!! Hahaha
 
Kuna swali moja mpaka leo hamna jibu lilowahi patikana.


Nini mwanamke anataka????

Literally ungesema nini mwanadanamu anataka? Sio wanawake pekee

1. Sisi wanaume tunajuwa/tunaelewa/tunafaham nini tunataka kutoka mwanamke? Wanawake?

2. Je wanawake? Is not a replica of 1 above?

Huu ni udhaifu unaopatikana both sides... wanaume wanabaka mpaka vichanga, achilia mbali wanawake vichaa kuzalishwa hovyohovyo mitaani nk
 
Yeye asemaye amemjua Mungu Wala hazishiki amri zake ,ni mwongo wala kweli haimo ndani yake

Yeye asemaye ya kwamba anakaa ndani yake,imempasa kuenenda mwenyewe vilevile Kama yeye anavyoenenda
Iyoh 2:4-6
 
Kuna wanaume:

Wanatia mimba vichaa

Wanabaka watoto wadogo

Wanabaka vikongwe

Wanabaka wanyama kama kuku,mbuzi n.k

Wanafira wanaume wenzao



Je wanaume wanajua wanachokitaka? Hili swala la kutokujua unachokitaka ni udhaifu wa kibinadamu hauna jinsi tusipende kuconlude mambo unaoelemea upande mmoja wakati uhalisia unajulikana.
Kuna swali moja mpaka leo hamna jibu lilowahi patikana.


Nini mwanamke anataka????
 
Na kichaa mwenyewe yupo humu JF ngoja aje mamilox.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…