Nimeolewa ila sijui ni kwanini namtamani sana huyu kichaa

Kama kweli umeokoka hilo siyo swala la kuleta hapa JF! Ni swala la kupeleka kwa mchungaji wako akupe ushauri na akufanyie maombi.
 
Wanaume tuna kazi
Kushare nyapu na kichaa!!! ,Yani dushe nilioshe vizuri,niliweke kwenye boxer safi, nilichagulie papuchi nzuri nzuri,alafu siku moja nioe niwe na share nyuchi na kichaa
 


Mpe tu akutafune, akishakutafuna, utaachana tu na hiyo hali ya kumtamani aytomatically..
 
Wewe ni zero brain na haujaokoka chochote watu wa aina yako ndo mtakao kuwa kuni maana unamdhihaki Mungu kwa kujifanya umeokoka kumbe famba
 
Kama kweli umeokoka hilo siyo swala la kuleta hapa JF! Ni swala la kupeleka kwa mchungaji wako akupe ushauri na akufanyie maombi.
Haohao wachungaji wa makanisan ndo hawahawa walioko humu jf, ivi unafikiri wachungaji wao n malaika kwamba huwa hawatumii mitandao ya kijamii?
 
Hehehehehhehhehe, wanawake...wanawake...wanawake.
Wanawake mna nn nyie? Mnataka nn sasa?
 
Halafu mtu uliyeokoka upo busy kwenye hii mitandao na majukwaa ya kishenzi na pengine hata mumeo hajui kweli utashindwa kutamani maumbile manene ya kichaa.

Na hapa kesi ni maumbile makubwa tu......basi njoo kwangu nikusitiri maana yangu ni mara mbili zaidi ya huyo kichaa na utajidai maana utakuwa pia umepata mwanaume wa maana zaidi kuliko huyo kichaa unaetaka jidharirisha nae. Khaaaaa...
 
Aiseee you're not serious we kadada
Unasali kwa gwajima itakuwa
Kama ndo hiv bora nisioe kbsa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…