Nimeolewa ila sijui ni kwanini namtamani sana huyu kichaa

Rudi tena kundini mpendwa, maana kiroho ni kama umekwisha zini nae na umrudie muumba wako kwa roho na kweli.
 
Huyu sio mlokole mzinzi tu wakawaida. Umeolewa na unajiita umeokoka unaandika upuuuzi huu. Unawachafua walokole tu.
 
Huyu sio mlokole mzinzi tu wakawaida. Umeolewa na unajiita umeokoka unaandika upuuuzi huu. Unawachafua walokole tu.
Kuna tofauti kati ya kuokoka na kusali kwenye makanisa ya walokole, being saved means kuishi maisha yanayompendeza mungu, ndo maana huwa staki hata kuwasikia hawa watu wanaookoka pombe tu, afu akikuta unakula vitu anakwambia kaka umepotea, kumbe yy kapotea zaidi na hajui

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Nilivyomuelewa ni kua, hajampenda kichaa km kichaa ila kapenda dushe la kichaa,
Means mumewe hana mtalimbo mkubwa na huyu dada hajawahi kuona dushe kubwa km aliloliona kwa huyo kichaa.
Ila naamini akimpata mzima mwenye mtalimbo mkubwa wenye kichwa kinene atamridhia mara moja.
Kiufupi huyu dada ataka kubadili ladha ivooo.

Kwa kua kaomba ushauri humu, mwenye hicho kigezo hapo juu amsaidie dada yetu, asije akaja tembea na kichaa, itakua ni fedheha kwake, kwa mumewe hata kwa jamii nzima.
 
Kweli ume waza beyond
 
Kuna dada hapa mtaani yalimkuta kama hayo tena kichaa ana nafuu kuliko huyo wako huyu wala haokoti makopo, mdada akamueka kichaa mawazoni muda si mrefu akamweka tendoni kondom aliyomvalisha kichaa ikapasuka sijui ikafanyaje wanavyosema wambeya wa mtaani... mimba ikaingia mtoto akafanana na baba yake copyright, kichaa akaanza kudai mwanae....vuruguuu aibuu!

Yaani kama kweli unampenda Yesu anza kukemea na kusoma mistari ya biblia kila unapopata hayo mawazo, ukiyaendekeza yatageuka matendo muda si mrefu....
 
jf haiishi vituko @matiana keiza vs maureen richadson na stor zao za kutunga huku jf ikijitafuna kutoa ushaur kwa ubunifu
 
imekaa vizuri hii, achana na kichaa maana atakuharibia ndoa, he is unfit upstairs.
 
Mama wew kabisa kichaa umempa nafasi ya mmeo then umeokoka sasa hapo nani anamatatizo ya akili,hebu imagine mmeo anakufumania kwa kichaa utamwambia kakubaka ama umembaka wewe,kuna madhaifu ila lako limepililiza nakushauri Rudi magotini mwa Yesu utapona
 
Mungu ni mwema sana mpendwa, kupitia wewe ameamua kumsaidia mtu wake kutatua shida za kimwili. Hata vichaa wana hisia pia. Nakushauri usipingane na mapenzi yake. Nenda kamchukue kichaa muoshe mnunulie na deodorant, mpigishe mswaki kisha ufanye naye kama anavyotaka. Kumbuka ni roho wa bwana ndio utakuwa unashiriki naye. Ili kumridhisha kabisa mpe akuingilie na njia yako ya nyuma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…