Nimeolewa ila sijui ni kwanini namtamani sana huyu kichaa

Sasa endleeni kumchekea hyoo kichaa na kumwacha awe anakuja getini IPO siku atawabakia Mtoto ndo mtajua umuhimu wa yeye kutosogelea geti,



Nakuja kwako yaani wewe Dada cjui n mama, ?? kabisaa unakaa ofisini na kumwazia kichaa Dahh! halafu unasema umeokoka that's is shame .....
MTU mzima ovyooo half inaonekana unavopita huwa unamuangalia weee mpaka amejua unaipenda hyo dushe yake etii ana nyeti kubwa kwa hyo ulikaa na kuanza kuzifananisha na mumeo ?? na kwann umuwazie ukiwa ofisini afu uombe ushaur wakt mwnyew unawazia?
Dahh!! ujisikii hata kinyaa
 
Imani Yako DHAIFU Mno, Yaonekana Huo Ulokole Wako Ni SHINIKIZO Tu!! KWA Vile Mr. Ana Imani Hiyo, Ila Moyoni Mwako Haujawa Tayari!!! BADO Matamanio Yameiteka Nafsi Yako!! SASA Huyo Ni Kichaa Hali Ndio Hiyo!!! JE, Kesho Ukikutana Na MMASAI Anaoga Ktk Lindo Lake!!! SI Ndio Utajipeleka Faster Ukagongwe, Kwa Vile Umeona Bomba La UKWELI!!!!? Sipati Picha Huko Kazini Kwako Hali Ikoje!! KAMA Chizi Tu Hali Iko Hivyo!!!
 
He huyu ana hatari,kumbei hii ni post yake ya kwanza kaingia kwa mtindo huu,karibu sana JF.
 
Wacha weee!!!!
 
Vichaa wamebarikiwa sana haya makitu ya heshima.
Kweli kabisa mkuu vichaaa wamebarikiwa kuwa na uume ukubwa. Kuna day nilikuwa natoka posta nipo kwenye daladala kufika mitaa ya fire pale njiani kuna kichaa alikuwa katoa uume njee ni mkubwa balaa. Jirani yangu nilikaa na dada mrembo nilimwona anamwangalia yule kichaa kisha akameza mate ya kutamani. lile tukio ni la mda but huwa halinitoki kichwani. Naamini wadada wanapenda uume mkubwa
 
hujaokoka wew....?
 
Ni udhaifu kushindwa kufanya mambo yako kisa story za jf, zinatolewa na fake people what if huyu sio mwanamke ni mvulana tu kaamua achangamshe jukwaa, Wala sio mlokole wala mke wa mtu? Mara ngapi vidume vinajifanya vijike humu vinaleta story za uongo? Kazi kwako
 
Dah huyu ni ibilisi anakunyemelea Tena anakuwinda si ubadili njia lazima upite hapo?
Atabadili vipi njia wakati hii njia ina utamu? Kitu ambacho hajagundua ni kwamba naye ni kichaa kama mwenzie
 
Hii kali, unamtamani kichaa? Unatisha dada,
siku moja atakupiga mwereka na atakufanya mbele ya mumeo na wanafamilia wako;
na inakuwaje mtu anamkabidhi kichaa mjengo, duniani kuna mambo.
 
Join date lewo lewo cha ajabu eti kuna watu wanaamini

Safi sana nimependa tu unavyoleta harakati na "awearness" humu wasiishi wanachosoma kila kitu ni fake humu ila nashangaa fake wanavyowaamini fake wenzao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…