Nimeombwa kuwa football agent na vijana mtaani

Nimeombwa kuwa football agent na vijana mtaani

je parle

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2018
Posts
2,022
Reaction score
3,919
Huwa ni mpenzi WA Mpira WA miguu mno. Na hii inachagizwa kwa kuwa nimecheza Mpira katika peak ya juu sana ila tu wakati na cheza Mpira haukuwa Mali sana KULIKO kipindi hiki Cha sasa.

Sasa Kuna Huwa natembelea viwanja mbali mbali kuangalia vijana wanavyofanya mazoezi na mechi hizi za ndondo MTAANI.

Kwa mfano hii timu ya MTAANI Huwa siku za mechi wanakuja nyumbani ili nikasimamie hata ukocha kidogo ila nawakatalia na kuwapa tu support ya maji na glucose

Sasa Kuna kijana mmoja kama wiki nyuma kanifuata kaniomba nimtafutie timu hata ya under 20 au timu b yeyote Ile ya NBC premier league.

Nikamwambia kutafuta timu ni connection sana inabidi uwe katika area hiyo .mana Mpira WA bongo 10% kwa sana.

Nijue nijue nyingi zaidi hata kama unakiwasha.

Ila huyu DOGO ni baller sana anaujua Hadi anakera ila tatizo ni jinsi ya kutoka ndio imekuwa ngumu

Kwa hiyo naanzaje hapa kuingia katika sakata hili la kuwa wakala WA wachezaji vijana kwa ligi kuu na nje ya mipaka ya nchi.?
 
You ya
Huwa ni mpenzi WA Mpira WA miguu mno. Na hii inachagizwa kwa kuwa nimecheza Mpira katika peak ya juu sana ila tu wakati na cheza Mpira haukuwa Mali sana KULIKO kipindi hiki Cha sasa.

Sasa Kuna Huwa natembelea viwanja mbali mbali kuangalia vijana wanavyofanya mazoezi na mechi hizi za ndondo MTAANI.

Kwa mfano hii timu ya MTAANI Huwa siku za mechi wanakuja nyumbani ili nikasimamie hata ukocha kidogo ila nawakatalia na kuwapa tu support ya maji na glucose

Sasa Kuna kijana mmoja kama wiki nyuma kanifuata kaniomba nimtafutie timu hata ya under 20 au timu b yeyote Ile ya NBC premier league.

Nikamwambia kutafuta timu ni connection sana inabidi uwe katika area hiyo .mana Mpira WA bongo 10% kwa sana.

Nijue nijue nyingi zaidi hata kama unakiwasha.

Ila huyu DOGO ni baller sana anaujua Hadi anakera ila tatizo ni jinsi ya kutoka ndio imekuwa ngumu

Kwa hiyo naanzaje hapa kuingia katika sakata hili la kuwa wakala WA wachezaji vijana kwa ligi kuu na nje ya mipaka ya nchi.?
 
Shoboka... shoboka.. shobokaaaa haswa. Shobo zikikubali. FANYA KAZI KWA UADIRIFU SAAAANA. Maana sasa utatumwa wewe ukatafute hao vijana.
Angalia usirubuniwe maana hapo ndio kazi hufa, vijana wengi wa bongo wako radhi watoe uchi tena wakiume wapate hizo nafasi, wapo radhi watoe Hela pia. Wewe fanya kazi tu. Simamia vijana. Shoboka kwa wahusika. The time will come. It takes a while sometimes.
Hata mimi nilicheza sana mpira, nilikua fire sana enzi copacoca cola wakaja na nyumbani. Nilicheza sana sehemu mbali mbali. Na niliona vijana waliojitahidi ili wabebwe kwenda timu kubwa. Ila tu elimu ilizidi upendo wa mpira nikaopt kusoma zaidi. Ila shoboka njia nyepesi sana. Ukiweza karume pale pawe nyumbani kwako. Sijui zile majaribio ya wachezaji, wewe peleka vijana mule. Mashindano haya ya kata mkoa vijiji usikose.
NIMEANDIKA SANA . Ila naamini umeelewa.
 
Fuata taratibu za kuwa fifa agent, download fomu ktk tovut ya tff ,jaza ,lipa ada, uwe agent

Ila sio kazi ndogo
 
Back
Top Bottom