Nimeombwa pesa ndotoni nimeamka nakuta zimepungua, ina tafsiri gani kiroho?

Nimeombwa pesa ndotoni nimeamka nakuta zimepungua, ina tafsiri gani kiroho?

Soft Guy

Member
Joined
Dec 18, 2023
Posts
64
Reaction score
149
Ni juzi kati nilikuwepo Gesti Fulani na Dar na kabla ya kulala nilihesabu hela nilikuwa na 50000/=.

Nilipopatwa na usingizi mzito niliota mtu Fulani anakuja ananiambia nimpe hela zangu na nikampa yeye akanipa kitu kingine sikikumbuki.
Sasa nilivyoamka asubuhi natafuta Ile 50000/= sikuiona Tena Kila sehemu niliyosachi.

Sahivi naogopa hata kutoa hela benki nikakaa nazo.Jana pia Nimeota Nampa mtu hela kama makubaliano Fulani.

Spiritualist wa Jamii Forums NAOMBA mnitafsirie.
 
Ni juzi kati nilikuwepo Gesti Fulani na Dar na kabla ya kulala nilihesabu hela nilikuwa na 50000/=.

Nilipopatwa na usingizi mzito niliota mtu Fulani anakuja ananiambia nimpe hela zangu na nikampa yeye akanipa kitu kingine sikikumbuki.
Sasa nilivyoamka asubuhi natafuta Ile 50000/= sikuiona Tena Kila sehemu niliyosachi.

Sahivi naogopa hata kutoa hela benki nikakaa nazo.Jana pia Nimeota Nampa mtu hela kama makubaliano Fulani.

Spiritualist wa Jamii Forums NAOMBA mnitafsirie.
Kila wakati nasisitiza umuhimu wa kusali vizuri kabla ya kulala na mara baada ya kuamka. Kamwe usilale kabla ya kusali na kujiweka chini ya ulinzi wa Mungu wewe, familia yako na mali zako! Kamwe!

Ukilala bila kusali vyema ni sawa tu na mtu amelala bila kufunga mlango wa nyumba yake, akiingia fisi ndani huwezi kushangaa ameingia vipi.

Kuhusu ndoto yako: Ni kwamba kuna mtu anayejua vizuri mambo ya kiroho alikutembelea hapo gesti. Alijua una pesa kiasi flani na kwamba kuna upenyo wa kiroho anaoweza kupitia na kuchukua hela hivyo. Unaweza kuita chuma ulete, au chochote kile, ila ni uchawi wa kuiba huo na unatumika sana sana.

Na kilichofanyika hapo ni kwa mchawi huyo kuzungumza na nafsi yako bila wewe mwenyewe hasa kugundua na alikuomba kweli na wewe ulimkubalia kuchukua hela hizo lakini bila wewe mwenyewe kutambua ulikuwa unafanya nini hasa katika ulimwengu wa kimwili.

Unapaswa kufanya nini? Unapaswa kujiimarisha zaidi katika maisha yako ya kiroho, uwe na kinga na hata nguvu kubwa zaidi ya kuwashinda watu kama hao. Usipofanya hivyo ni kwamba huwezi kamwe kufanikiwa maishani kwani kila unachokipata utagawana nao.
 
Noti za zamani zimeondolewa kwenye mzunguko kwani ulikuwa bado unazo???
 
Back
Top Bottom