Ngareroo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2019
- 2,123
- 2,449
Wajuba ni viplo?inakua mambo ni nini asee fas izo mnazo'reprezee..Mko full au vipi??Yechu...
Jana jioni nikiwa kisanga Kingstone duas ya Maskani apa kati nikiwa nime'chill nje napigwa izo makikupwe ya kuzidi napoza ma'rejex,ghafla akakatiza manzi flani ivi anaitwa Husna,,akanigei ma hi then akapita ivi,,ghafla kama dakika 5 ivi akarudi tena akapita me namdere tu coz sinaga ata izo mazoea nae kiivo...
Mala Chap akaja chaliangu mmoko tunamuita Doyoyoo akanisanua,
DOYOYOO:Oraah Msomali eeh!uyu manta Husnah unajua waga anaku'zoom kwanza dirishani kwao akikudekerea ndo anajipitisha apa kwenu,ila asipokudere hapiti,
MIMI:Khaa acha bas dingii ariff!!perepete gani tena izo unanipanga asee chaliangu?
DOYOYOO:Kweli tena me siezi kukurusha mjuba,ngoja nimuite uje umpe ayo maelekezo kama yote...
Chalii si akamuita Manzi akatimba apa kati!!nikamuuliza kama anae boyfriend akasema hana,nikasema kumbe ndo kitu ambacho!?mbona kama manzi ananitembezea izo ma anasa za abuja Babaako!!nikamuuliza inakuaje nikiwa Mimi?hakudevera dingii ariff Si akanitoa wasiwasi kuwa nisihanye...
Bas sikutaka njaro shazi nikamzamisha ndichile Ghetto nikamkadafua kinyama...
Kesho ake ambae ndo leo daaah sitasahau jioni hii man,Kuna chalii kanifata kanionesha video za Husnah waenduru wanamfekeche kisoro,wanamla mtungo machalii wa3,kanionesha video zaidi ya 3 wajuba tofauti tofauti wanamdinya imeni'lostisha sana hii kitu,alaf waenduru wote akuna ata mmoko alietumia Ndochi/Ndox/Condom alaf mwamba nilichapa Kaa mpoto yani.Hapa nna mawazo ya kuzidi yaani,staki ata kumuona k*ma sana huyu.
@NgarenaroBoy.
Jana jioni nikiwa kisanga Kingstone duas ya Maskani apa kati nikiwa nime'chill nje napigwa izo makikupwe ya kuzidi napoza ma'rejex,ghafla akakatiza manzi flani ivi anaitwa Husna,,akanigei ma hi then akapita ivi,,ghafla kama dakika 5 ivi akarudi tena akapita me namdere tu coz sinaga ata izo mazoea nae kiivo...
Mala Chap akaja chaliangu mmoko tunamuita Doyoyoo akanisanua,
DOYOYOO:Oraah Msomali eeh!uyu manta Husnah unajua waga anaku'zoom kwanza dirishani kwao akikudekerea ndo anajipitisha apa kwenu,ila asipokudere hapiti,
MIMI:Khaa acha bas dingii ariff!!perepete gani tena izo unanipanga asee chaliangu?
DOYOYOO:Kweli tena me siezi kukurusha mjuba,ngoja nimuite uje umpe ayo maelekezo kama yote...
Chalii si akamuita Manzi akatimba apa kati!!nikamuuliza kama anae boyfriend akasema hana,nikasema kumbe ndo kitu ambacho!?mbona kama manzi ananitembezea izo ma anasa za abuja Babaako!!nikamuuliza inakuaje nikiwa Mimi?hakudevera dingii ariff Si akanitoa wasiwasi kuwa nisihanye...
Bas sikutaka njaro shazi nikamzamisha ndichile Ghetto nikamkadafua kinyama...
Kesho ake ambae ndo leo daaah sitasahau jioni hii man,Kuna chalii kanifata kanionesha video za Husnah waenduru wanamfekeche kisoro,wanamla mtungo machalii wa3,kanionesha video zaidi ya 3 wajuba tofauti tofauti wanamdinya imeni'lostisha sana hii kitu,alaf waenduru wote akuna ata mmoko alietumia Ndochi/Ndox/Condom alaf mwamba nilichapa Kaa mpoto yani.Hapa nna mawazo ya kuzidi yaani,staki ata kumuona k*ma sana huyu.
@NgarenaroBoy.