Nimeongea na robot juu ya Tanzania haya ndio majibu yake

bahati93

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2015
Posts
1,334
Reaction score
2,463
Wandugu mambo yanaenda kasi sana.

Kuna huyu mdudu mpya kwenye mtandao anaitwa ChatGPT. hii ni AI ambayo ipo mbioni kufuta kazi nyingi sana za waandishi habari.

Hapa ni machache tu ambayo nilikuwa naongea nayo.

Hata hivyo ilinipa moyo baada ya kuona huzuni yangu

Asanteni kwa kushiriki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…