Nimeota Emmanuel Okwi anatua Simba dirisha dogo

Nimeota Emmanuel Okwi anatua Simba dirisha dogo

Simba ameishamsliza usajili wa wachezaji wa nje
 
Usiku wa kuamkia leo, nimepata njozi ya Emmanuel Okwi "Emosting" kutua Simba dirisha dogo la usajili! Sijui hii ndoto ina maana gani?

Mtindo wenu wa kusajili wazee bado unaendele Okwi miaka 40 atakuja kuwalia fedha bure si unaona akina Kapome Nyoni Wawa Mkude nyonga zinagoma wewe unafikiri wakiwa vijana wangefukuzana na Toto shida ni timu kuwa ya mtu mmoja halafu huyu Magori anataka nini simba au ndio kihirizi cha simba wenzake wote wameondoka kabaki yeye shame
 
Sizani kama okwi kama ana ile energy ya zamani.

Ili aendelee kujitunzia heshima kwa wanasimba ni vema abaki tu huko alipo maana akija simba na akashindwa ku perform ataharibu sifa zake ambazo aliziweka hapo nyuma.
 
Mumrudishe na yule Serunkuma ili awasaidie kwenye mashambulizi. Maana yule Mugalu hata umuachie goli wazi, bado tu atapaisha.
 
Eti wamefanya the best preseason Hawa, wizi mtupuuuu kwa mpira usio na mipango
 
Usiku wa kuamkia leo, nimepata njozi ya Emmanuel Okwi "Emosting" kutua Simba dirisha dogo la usajili! Sijui hii ndoto ina maana gani?
Wewe na Mme au Mke.

Tuanzie hapo kwanza maana hii tabia ya kuota ota wanaume hii mmmhh

Just kidding
 
Back
Top Bottom