handsome boy wa jf
Senior Member
- Jan 2, 2022
- 163
- 350
Hayo yote yanatokea leo subiri gameNyie ndo wale mnaobeti mikeka mingiii ya bukubuku halafu yote inachanika!!
Yanga machoko waleNimeota yanga wamepanda boti la Azam na vifurushi vyao vya mabegi wakielekea Dsm baada ya kufurushwa na Azam
Baada ya kufurushwa wanaiotea Simba mabaya,, hawa jama jinga sanaYanga machoko wale
Umempiga ngumi za uso. Na huenda akapotea hapa jukwaani.Punguza unoko, 3 days back uliandika haya[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2079669
UmemuuaPunguza unoko, 3 days back uliandika haya[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2079669
Endelea kuota dada utopoloAiseee jamani wana simba leo naona kabisa tunafungwa leo na azam jana kuna ndoto nimeiota aisee nimeota naona vilio vimetawala msimbazi naona kocha pablo yupo airport amepanda ndege amefukuzwa naona leo chama yupo jukwanii amevaa jezi za yanga akiwapungia mkono mashabiki wa simba nimeota pia goli la azam litafungwa kwa makosa ya beki za za simba, nimeota pape sakho ataumia kipindi cha kwanza atatolewa nje nimeona leo game ya leo azam japo anashinda goli 2 kwa bila nimeoneshwa goli la pili la azam litafungwa kiutatauta sana,
Nimeonyeshwa mchezo wa leo utakuwa na vurugu kubwa mnoo tena mnoo