...dahh, ungeipost hii kule juu kwenye jukwaa la Siasa bana, huku unatuletea Nuksi kwa sie wenye matumaini ya maisha.
Dahh,
mimi naona ni ndoto nzuri tu .. sijui kwa nini siogopi kufa.. i wish angeota kuwa mimi ndio nimesogea
sitaki waanze na herufi kwani jina la mtu ninayemzimikia sana linaanza na "A"(angalia signature yangu)...bora Israel aanzie na 'Z' itakuwa imekula kwa zumbe mkuuSI acha kutuzuga hapa ukikaribia wewe hata herufi za jina lako ukiambiwa ziko karibu nafikiri utamhonga Israeli mtoa roho asogeze sogeze mwisho mwisho kule
SI acha kutuzuga hapa ukikaribia wewe hata herufi za jina lako ukiambiwa ziko karibu nafikiri utamhonga Israeli mtoa roho asogeze sogeze mwisho mwisho kule
inauwakilisha shetani. na kuzimu...Em kama itawezekana badlisha hyo avatar yako.
Hivi unapata fahari gani kuwakilishwa na hyo avatar???
sitaki waanze na herufi kwani jina la mtu ninayemzimikia sana linaanza na "A"(angalia signature yangu)...bora Israel aanzie na 'Z' itakuwa imekula kwa zumbe mkuu
hhaa hha, kukata rufaa ya kifo!...
dah!!! hii itakuwa hatari kweli kweli .. mimi naomba aanzie huko dodoma kwa wanaokula neshno cakeSasa Israel Mtoa roho anapick randomly angalia tuu isiangukie kwa SI hapo atakuwa amekuwahisha sana
dah!!! hii itakuwa hatari kweli kweli .. mimi naomba aanzie huko dodoma kwa wanaokula neshno cake
<br />Habari zenyu.. sitaki mtu wa kutafsiri ndoto yangu ila nimeota kuna member wa JF kafa huu mwaka kabla haujaisha. wana JF mrudieni Mungu
Kaka uwe specific dodoma sehemu gani?...nasi tunaomba arudi huko huko dsm kwa wazee wa kujirusha hasa huko sinza..dah!!! hii itakuwa hatari kweli kweli .. mimi naomba aanzie huko dodoma kwa wanaokula neshno cake
nimesema kwa wazee wanaokula neshno cake.....hujui maana yake?dsm wana popo bawa tayari...au chagua israel au popobawa?Kaka uwe specific dodoma sehemu gani?...nasi tunaomba arudi huko huko dsm kwa wazee wa kujirusha hasa huko sinza..
<br />ni kweli ..ila nina hiyo n i hulka ya biinadamu yoyote.. ndio maana unaambiwa kunajamaa alienda kujinyonga na kamba alivyopanda juu ya mti ili kufunga kamba ya kujinyongea akakutana na nyoka face to face.. akakimbia mbio hadi kwake na huo ndio ukawa mwisho wa kujinyonga kwake
nimekuelewa ila hatutaki misiba hapa dom..mipango yoote walishapangia huko dsm..na woote ni wakaazi wa huko..hapa wameleta kaugonjwa tu..hima tunawarudisha huko huko pamoja na huyo popobawa wao..nimesema kwa wazee wanaokula neshno cake.....hujui maana yake?dsm wana popo bawa tayari...au chagua israel au popobawa?
......napita tu.......................sijasoma hii sredi...................
......napita tu.....
hahhah....halafu Israel huwa anapitiaga watu kama hawa..si unajua mtu anaweza akawa anakunywa maji machafu kila siku ila asiumwe an tumbo .. sasa kunywa wewe hayo maji uone kazi yake..............................sijasoma hii sredi...................