Nimeota ndoto ya 3 kuwa CHADEMA itakuwa chama tawala 2025!

Nimeota ndoto ya 3 kuwa CHADEMA itakuwa chama tawala 2025!

Poker

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2016
Posts
5,445
Reaction score
14,828
Hi ni mara ya 3 naoteshwa ndoto kuwa CHADEMA kitakuwa chama tawala katika uchaguzi wa 2025. Nimejaribu kuzipuuza hizi ndoto ila sasa zimekuwa too much,naona umefika wakati wa nchi kuingia katika mikono salama ili safari yetu ya mafanikio ianze rasmi. Je swali sasa ni nani atakaye tuvusha kutoka utumwani, matesoni, kwenye njaa na dhulma mpaka kwenye mafanikio ya kweli yaletayo tumaini? CHADEMA kamwe wasipuuze hizi ndoto zangu wanamuitaji spika wa zamani mh. Job aje kutuvusha hapa tulipo. Haya maono wasiyapuuzie watu wa CHADEMA mtakuja nishkuru baadae! Movements for changes italetwa na mh. Job! People's power italetwa na mh. Job, na nguvu ya umma iko nyuma mh. Job kudai haki zao.
 
Hi ni mara ya 3 naoteshwa ndoto kuwa CHADEMA kitakuwa chama tawala katika uchaguzi wa 2025. Nimejaribu kuzipuuza hizi ndoto ila sasa zimekuwa too much,naona umefika wakati wa nchi kuingia katika mikono salama ili safari yetu ya mafanikio ianze rasmi. Je swali sasa ni nani atakaye tuvusha kutoka utumwani, matesoni, kwenye njaa na dhulma mpaka kwenye mafanikio ya kweli yaletayo tumaini? CHADEMA kamwe wasipuuze hizi ndoto zangu wanamuitaji spika wa zamani mh. Job aje kutuvusha hapa tulipo. Haya maono wasiyapuuzie watu wa CHADEMA mtakuja nishkuru baadae! Movements for changes italetwa na mh. Job! People's power italetwa na mh. Job, na nguvu ya umma iko nyuma mh. Job kudai haki zao.
Kama CCM ita simamisha mama kama candidate wake, na huku akitaka awafurahishe wapinzani mara CCM. CHADEMA kwa mara ya kwanza watakuwa na mpinzani dhaifu toka CCM ili mradi wekeni candidate wa kueleweka siyo wanaharakati.
 
utaratibu wako wa ndoto aujapangiliwa vizuri,kwanza ota mabadiliko ya katiba mpya na tume huru.
 
Ni kitu kinachowezekana kama demokrasia itapewa heshima yake, ila hii ni ndoto ya mchana kuing'oa ccm hii madarakani kiulaini hivyo.
 
Chadema ya mwaka gani?
Hii ya walamba asali?
 
Ni kitu kinachowezekana kama demokrasia itapewa heshima yake, ila hii ni ndoto ya mchana kuing'oa ccm hii madarakani kiulaini hivyo.
Nimeota mara 3 mkuu unadhani ni ndoto ya kawaida?
 
Director wa ndoto yako mwambie arudi shule!
 
Kama itatokea ccm kushindwa na chadema, basi shukrani za dhati ziende kwa Kikwete na genge la wahuni wenzake walamba asali.
 
Hi ni mara ya 3 naoteshwa ndoto kuwa CHADEMA kitakuwa chama tawala katika uchaguzi wa 2025. Nimejaribu kuzipuuza hizi ndoto ila sasa zimekuwa too much,naona umefika wakati wa nchi kuingia katika mikono salama ili safari yetu ya mafanikio ianze rasmi. Je swali sasa ni nani atakaye tuvusha kutoka utumwani, matesoni, kwenye njaa na dhulma mpaka kwenye mafanikio ya kweli yaletayo tumaini? CHADEMA kamwe wasipuuze hizi ndoto zangu wanamuitaji spika wa zamani mh. Job aje kutuvusha hapa tulipo. Haya maono wasiyapuuzie watu wa CHADEMA mtakuja nishkuru baadae! Movements for changes italetwa na mh. Job! People's power italetwa na mh. Job, na nguvu ya umma iko nyuma mh. Job kudai haki zao.
CHADEMA kweli mazuzu, yanajitekenya na kucheka yenyewe! Kafuteni tiba ikiwezekana mkatibiwe MIREMBE
 
Back
Top Bottom